• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MICHEZO ITUMIKE KUCHOCHEA UKUAJI WA TAALUMA NA NIDHAMU MASHULENI

Posted on: June 3rd, 2023

Mashindano ya michezo kwa shule za sekondari maarufu kwa jina la umiseta yametakiwa kutumika kama sehemu ya kuchochea ukuaji wa taaluma na nidhamu kwa wanafunzi wanapokuwepo mashuleni


Rai hiyo imetolewa na afisa elimu sekondari wa manispaa ya ilemela mwalimu sylvester mrimi wakati wa shughuli ya kufunga mashindano ya umiseta kiwilaya iliyofanyika katika viwanja vya shule ya sekondari ya wavulana bwiru ambapo amewaasa walimu na wanafunzi kutumia fursa ya uwepo wa mashindano hayo kama sehemu ya kuonyesha vipaji na kukuza taaluma


'.. Ni matumaini yangu kuwa baada ya kuisha michezo hii hatutegemei kuona anayeshiriki michezo ndio anaefeli, tunategemea kuona heshima, maadili, uvumilivu, adabu, na bidii ..' alisema


Aidha mwalimu mrimi mbali na kumshukuru rais mhe dkt samia suluhu hasan kwa fedha anazozitoa kwaajili ya ujenzi wa miundombinu ya shule ameihakikishia timu ya wilaya ya ilemela ushirikiano katika kushiriki kwake ngazi ya mkoa sanjari na kuitaka ikafanye vizuri na kurudi na vikombe vya ushindi


Nae afisa elimu vifaa na takwimu sekondari wa manispaa ya ilemela mwalimu hellen mushi amefafanua kuwa michezo ya umiseta kwa manispaa ya ilemela ilianza mei 31 na kuhitimishwa june 02, ikifadhiliwa na mkurugenzi wa manispaa hiyo pamoja na benki ya crdb ambapo shule 56 za binafsi na umma zimeshiriki huku michezo ya mpira wa meza na goli kwa walemavu ikiongezwa tofauti na miaka ya nyuma ambapo haikuwepo kabisa


Kwa upande wake afisa michezo wa manispaa ya ilemela ambae pia ndie meneja wa timu ya wilaya mwalimu bahati kizito ametoa wito kwa wadau wa michezo na wasimamizi wa vilabu mbalimbali kutembelea viwanja yanapoendeshwa mashindano hayo kujionea vipaji na kuvisajili huku akitolea mfano wa mchezaji kelvin john anaechezea klabu ya nje ya nchi aliyeibuliwa kupitia mashindano hayo miaka kadha nyuma


Swaum daud ni mwanafunzi wa kidato cha pili kutoka shule ya sekondari pasiansi mbali na kushukuru kwa uwepo wa mashindano hayo yanayosaidia kukuza akili, ushirikiano, vipaji na afya ameahidi ushindi kwa ngazi ya mkoa pindi yatakapoanza


Mashindano ya UMISSETA kwa mwaka 2023 yamepambwa na kauli mbiu ya “uimarishaji wa miundombinu ya elimu nchini ni chachu ya maendeleo ya taaluma, sanaa na michezo” na kata ya pasiansi imefanikiwa kuibuka mshindi wa jumla wa mashindano hayo kwa ngazi ya wilaya ya ilemela kwa mwaka huu



Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.