• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MHE MASALA AWATAKA MADIWANI ILEMELA KUSHIRIKIANA NA NA MAKARANI WA SENSA

Posted on: August 25th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Ilemela, Mhe Hassan Masala amewataka waheshimiwa Madiwani kuungana  na timu za sensa zilizopo katika kata zao ili kuwezesha kaya nyingi kufikiwa na kuweza kukamilisha zoezi hili la sensa kwa asilimia 100.



Ameyasema hayo wakati akihutubia baraza la Madiwani ambapo alitumia fursa hiyo pia kuwapongeza madiwani kwa namna ambavyo wamehamasisha wananchi katika kata zao huku akiwataka kutokuwaachia kazi hii makarani peke yake, kwani inapaswa ikamilike kwa asilimia 100 kufuatia umuhimu wake.


“Madiwani mkaungane na timu zilizopo katika kata zenu ili kaya nyingi zifikiwe na kuweza kukamilisha idadi tarajiwa kwa kadri ya muda ambao tumepewa nawaomba sana mshiriki kikamilifu kwa kuendelea kuwaelimisha wananchi ambao bado hawajahesabiwa umuhimu wa zoezi hili la sensa”, amesema Mhe. Masala


Ameongeza kusema kuwa Mhe Rais, Samia Suluhu Hassan amekuwa mstari wa mbele kutoa hamasa toka kuanza kwa  zoezi hili hivyo haitapendeza inapofika mwisho kukuta kuwa kuna kaya ambayo haijahesabiwa



Licha ya changamoto chache ambazo makarani wamekutana nazo Mhe. Masala amewashukuru wananchi namna ambavyo wamekuwa wakitoa ushirikiano mkubwa na kufikia hatua wananchi hao kuwatafuta makarani wakahesabiwe hii ni dalili kuwa wananchi wameelewa umuhimu wa sensa.



Nae Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela Mhe.Renatus Mulunga amewataka wananchi kubeba umiliki wa zoezi la sensa ya watu na makazi na kila mmoja kuwa balozi wa mwingine katika kuhamasishana kushiriki kuhesabiwa.


Kaya 41,980 ambayo ni sawa na asilimia 35 zimehesabiwa ndani ya siku mbili toka zoezi la sensa ya watu na makazi kuanza tarehe 23 Agosti 2022, ambapo jumla ya kaya 121,542 zinatarajiwa kuhesabiwa katika Wilaya ya Ilemela, amehitimisha Mhe. Hassan Masala


 “ Tushiriki kuhesabiwa kwa maendeleo endelevu.”




Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.