• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MBUZI 424 WA THAMANI YA SHILINGI MILIONI 36.04 WATOLEWA KWA WALENGWA WA TASAF

Posted on: February 25th, 2023

Mbuzi 424, wa thamani ya shilingi milioni 36.04 wametolewa kwa kwa kaya 106 zinazonufaika na mpango wa kunusuru kaya masikini TASAF kupitia mradi wa kuongeza kipato unaofadhiliwa na OPEC.

Pamoja na kukabidhiwa mbuzi hao, walengwa wa TASAF wametakiwa kuupokea mradi huo kwa mikono miwili sambamba na kuhakikisha wanawatunza mbuzi hao ili waweze kuzaliana na baadae waje kuwasaidia katika utatuzi wa changamoto za kiuchumi katika kaya zao ikiwa ndio lengo la mradi huu.


Rai hiyo imetolewa na Ndugu leonard Robert ambae ni mratibu wa TASAF Ilemela, na kuongeza kusema kuwa anayo matarajio makubwa kuwa uchumi wa kaya unaenda kuimarika kupitia mradi huu.


“Matarajio makubwa ni kwamba uchumi wa kaya unaenda kuimarika na changamoto zinaenda kupungua ambapo kila kaya itakuwa na jukumu la kuwatunza na kuwalinda, tunaamini mradi huu unaenda kutatua changamoto za kiuchumi ndani ya familia”, amesema Ndugu Leonard

Akimwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Ilemela, Bi Suzana Tilumanywa amewataka wanufaika wa mradi huo pamoja na uongozi wa kata na mtaa kuhakikisha wanaulinda mradi huo na kuutunza ili tija iliyokusudiwa iweze kufikiwa pamoja na kushauri wataalam wa wilaya wakiwemo na maafisa mifugo kufuatilia changamoto za walengwa hao na kuzipatia ufumbuzi.


 ‘.. Ilemela tumekuwa wa kwanza kutekeleza mradi huu, Tukifanya vizuri wenzetu wa maeneo mengine watakuja kujifunza kutoka kwetu ..’ Alisema


Nae Diwani wa kata ya Nyamhongolo Mhe Andrea Nginila amefafanua kuwa mradi huo utaenda kuleta tija kwa wananchi wake kwa kuwaondolea umasikini kwa kuwa utawazalishia fedha za kujikimu wao binafsi na wategemezi wao


Leah Mabula ni miongoni mwa wanufaika wa mradi huo ambapo ameishukuru Serikali chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hasan kwa kutoa fedha hizo na kuahidi kutunza mbuzi hao waweze kuzaliana ili familia yake iweze kujikomboa kiuchumi

Mbuzi hawa wametolewa kwa mitaa miwili ya kata za Sangabuye na Nyamhongolo  ambapo mtaa wa Igalagala uliopo kata ya Sangabuye wamepata mbuzi 196  na mtaa wa Ibinza katika kata ya Nyamhongolo wamepatiwa mbuzi 228 ambapo kila kaya imepatiwa mbuzi wanne kati yao watatu ni majike na mmoja ni dume .








Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.