• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MBUNGE WA ILEMELA KUKUZA NA KUENDELEA VIPAJI VYA MICHEZO ILEMELA

Posted on: June 15th, 2017

MBUNGE WA ILEMELA KUKUZA NA KUENDELEZA VIPAJI VYA MICHEZO ILEMELA




Mbunge wa jimbo la Ilemela Mhe. Angeline Mabula amezihakikishia timu za Manispaa za Ilemela kwa shule za msingi na sekondari kukuza na kuendeleza vipaji mbalimbali vya michezo vilivyomo ndani ya jimbo lake.

Mhe mbunge aliyasema hayo wakati wa hafla fupi ya kupokea kombe la ushindi wa michezo ya UMITASHUMTA yaliyomalizika hivi karibuni katika viwanja vya bwiru ambapo timu ya wilaya ya  Ilemela ilishika nafasi ya kwanza kimkoa.

Aidha aliwahakikishia kuwa michezo inakuwa fursa ya kujikomboa kichumi kwa kuifanya ajira kama ajira nyingine kwa kuwalea,kuwasomesha pamoja na kuwatafutia ufadhili mbalimbali ili michezo ikawe daraja la kuwapandisha vijana ambao wana kipaji vya michezo.Katika kulitekeleza hilo ameahidi yeye pamoja na Tanzania football House kuwalea wanafunzi wawili walionyesha vipaji vyao katika michezo.

“Mimi pamoja na Tanzania Football house tutawalea,tutawasomesha na kuwatafutia ufadhili ili iwe chachu kwa wale ambao hawakupata fursa hii ili michezo ikawe sehemu ya kuweka afya zetu sawa pamoja na kuwa daraja la kumpandisha daraja kijana mwenye kipaji”, alisisitiza.

Pamoja na hayo aliipongeza na kuishukuru  timu hiyo kwa kuwa mabalozi wazuri kwa ilemela, na kusema kuwa ushindi huu umeletwa na wao kuwa wasikivu kwa walimu wao pamoja na  nguvu ya pamoja kutoka ofisi ya Mbunge kupitia taasisi ya Angeline, ofisi ya mkurugenzi, walimu, wazazi na Tanzania football house.

Nae Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela akiwapongeza vijana hao aliwataka kuchangamkia fursa ya kubadilishana uzoefu na nchi ya Korea Kusini pindi itakapotokea ambayo kwa sasa imeanzisha mahusiano na Manispaa ya Ilemela kwa kuongeza bidii katika michezo .Pamoja na hayo aliwataka kuzingatia masomo yao kwa kusoma kwa bidii, halikadhalika alimshukuru Mbunge kwa juhudi anazofanya katika kunyanyua michezo Ilemela kwani hilo ni jukumu la baraza la madiwani.


Mashindano hayo ya UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa yalianza tarehe 8/06/2017 na kuhitimishwa tarehe 12/06/2017 huku timu ya ilemela ikishika nafasi ya kwanza ikifuatiwa na Misungwi na nafasi ya tatu kushikwa na Buchosa.Kumalizika kwa mashindano hayo kumewapa fursa wanafunzi 15 kutoka timu ya Ilemela kuungana na timu ya Mkoa wa Mwanza kushiriki mashindano ya UMITASHUMTA kitaifa.



Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.