• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MBUNGE ILEMELA AHIMIZA UKAMILISHAJI WA MIRADI KWA WAKATI

Posted on: February 18th, 2023

"Nitoe rai ya ukamilishaji wa miradi yote inayoendelea jimboni kukamilika kwa wakati".


Ni kauli iliyotolewa na Mhe.Dkt.Angeline Mabula ambae ni Mbunge wa Jimbo la Ilemela na Waziri wa Ardhi Nyumba na maendeleo ya makazi wakati wa ziara ya kikazi akikagua utekelezaji wa miradi mbalimbali inayoendelea jimboni.

Sambamba na hilo ametoa maelekezo kwa Mkurugenzi kuhakikisha kuwa maeneo yote yanayodaiwa fidia yanalipwa kuepusha migogoro ya ardhi pamoja na kuhakikisha taasisi zote za umma zinapimwa na kupata hati miliki.


"Pale panapostahili fidia zilipwe mapema ili kuepusha migogoro",amesisitiza Mhe.Mabula


Pamoja na hilo amepongeza kwa miradi mizuri na usimamizi mzuri wa miradi hiyo na kusisitiza kuendeleza ushirikiano uliopo ili Ilemela iweze kusonga mbele.


Mhe.Mabula ametumia fursa hiyo kumshukuru Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha nyingi Ilemela za miradi wakati akiongea na wananchi wa Mihama kata ya Kitangiri alipofika kwa ajili ya kukagua ujenzi wa zahanati ya mihama inayojengwa kwa fedha za TASAF.


Mhe.Mabula amesema ,Serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe Rais Samia imetoa kiasi cha shilingi Milioni 133 kwa ajili ya ujenzi wa bweni la wasichana katika shule ya Sekondari Igogwe, shilingi milioni 173.5.kwa ajili ya ujenzi wa zahanati ya mihama, na shilingi milioni 74 kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya igombe mwaloni.


Kuhusu suala la fidia Mhandisi Modest Apolinary ameeleza kuwa katika bajeti ya mwaka 2023/2024 kiasi cha shilingi Bilioni moja kimetengwa kwa ajili ya fidia pamoja na uthamini katika tasisi za umma huku akiahidi kutekeleza maelezo yaliyotolewa.


Mhe Angeline Mabula amekagua miradi ya ujenzi wa bweni shule ya sekondari Igogwe, ujenzi wa barabara ya Kahama kuelekea Shibula, barabara ya igombe mwaloni, zahanati ya Mihama pamoja na eneo la ujenzi wa zahanati mpya katika kata ya Kitangiri.

Bweni la wasichana litakachukua wasichana 80












Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.