• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

'MNAOPIMIWA ARDHI,MSIKWEPE KUMILIKISHIWA': NAIBU WAZIRI WA ARDHI

Posted on: August 3rd, 2020

Wananchi wanaopimiwa viwanja na kisha upimaji ukaidhinishwa wametakiwa kutokwepa kumilikishwa ardhi, kwani kufanya hivyo ni kutenda kosa kisheria.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe Dkt Angeline Mabula wakati wa zoezi la ugawaji wa hati 1300 kwa wananchi wa manispaa ya Ilemela, mbapo amesema kuwa ipo tabia kwa baadhi ya wananchi kuomba kupimiwa viwanja vyao na baada ya hapo kukwepa kulipa kodi kwa kukataa kuomba kumilikishwa maeneo yao kitendo ambacho kimekuwa kinaikosesha Serikali mapato.


Aidha Dkt Mabula aliwahimiza wananchi kutumia fursa hii ya urasimishaji kwani zoezi hili si endelevu na halina fidia kwa kuwa limetokana na msamaha wa Rais Mhe Dkt John Magufuli kwa wananchi wake baada ya kuona wamejenga bila kufuata utaratibu hivyo kuamua kuwarasimishia makazi yao ili waishi kwa amani na utulivu bila ghasia yoyote ikiwemo kuvunjiwa.


Akimkaribisha mgeni rasmi, Kamishna wa ardhi mkoa wa Mwanza Ndugu Makwasa Musase Biswalo amesema kuwa zoezi la ugawaji hati kwa wananchi litakuwa likiendeshwa kwa kuwafata wananchi katika maeneo yao badala ya kuwasumbua kwa kila siku kuzifuata katika ofisi za ardhi za mkoa na halmashauri ikiwa ni utekelezaji wa maelekezo ya wizara huku akimshukuru Naibu Waziri huyo kwa ushirikiano anaotoa kwa ofisi yake.

Bwana Julius Peter ni moja ya wananchi waliokabidhiwa hati miliki katika zoezi hilo ambapo ameishukuru Serikali kwa kuruhusu zoezi la urasimishaji makazi na kuwataka wananchi wengine kutumia fursa hiyo kikamilifu

Kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2020/2021 Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela, imepanga kuandaa hati 5000 na hadi sasa zimeshaandaliwa hati 327 kati ya hizo hati 96 ni za mradi wa viwanja vya walimu na 231 ni hati za maeneo mengine’Hayo yalisemwa na Bi grace Masawe ambae ni afisa ardhi mteule wa Manispaa ya Ilemela.

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.