• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MADIWANI ILEMELA WAWASILISHA TAARIFA ZA MAENDELEO YA KATA ZAO

Posted on: November 5th, 2024

MADIWANI ILEMELA WAWASILISHA TAARIFA ZA MAENDELEO ZA KATA ZAO

 

Baraza la madiwani  kwa ajili ya kujadili taarifa za kata kwa robo ya kwanza kipindi cha Julai-Septemba 2024/2025, limefanyika leo tarehe 05 Novemba 2024, katika baraza hili madiwani huwasilisha taarifa za maendeleo za kata zao sambamba na changamoto zinazojitokeza katika kata hizo.

 

Madiwani hawa wa Manispaa ya Ilemela wakiwasilisha taarifa zao katika nyakati tofauti wameishukuru Serikali kwa kutoa fedha kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika kata zao miradi hiyo ni pamoja na ya sekta ya afya,elimu,maji,miundombinu ya barabara.

 

Pamoja na shukurani hizo, zipo changamoto mbalimbali zilizowasilishwa na kubwa ikiwa ubovu wa miundombinu ya barabara likionekana kugusa karibia kila kata ya Manispaa ya Ilemela huku wakiitaka TARURA kufika kwenye kata zao kwa ajili ya kukarabati barabara zilizoharibika. Changamoto nyingine iliyowasilishwa ni suala la fidia, ukosefu wa maji ya uhakika katika baadhi ya maeneo.

 

Bi Ummy Wayayu ambae ni mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela akijibu hoja hizo zilizoibuliwa ameahidi kufanyia kazi suala la ulipaji wa fidia na kusema kuwa fidia inalipwa kutokana na makusanyo ya fedha za mapato ya ndani.Aidha amewasihi Madiwani kuwa na uvumilivu kwani mitambo ya barabara ipo njiani kufika ambayo itaenda kupunguza changamoto hizo.

 

Akihitimisha baraza hilo, mstahiki meya wa manispaa ya Ilemela, Mhe.Renatus Mulunga  ameweka msisitizo kwenye kujipanga vyema na maandalizi ya mapokezi ya wanafunzi wa kidato cha kwanza na darasa la kwanza katika mwaka mpya wa masomo 2025.

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA ASILIMIA 10 November 21, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA ASILIMIA 10 November 21, 2025
  • ORODHA MAJINA YA WATENDAJI WA VITUO WALIOTEULIWA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI MWAKA 2025 JIMBO LA ILEMELA October 20, 2025
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA VYUMBA VYA BIASHARA October 16, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • ILEMELA YAANZA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI 2026/2027

    November 25, 2025
  • "UPANDAJI WA MICHE YA MATUNDA UWE ENDELEVU";DC MKALIPA

    November 20, 2025
  • WATAHINIWA 7912 KUFANYA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE 2025 MANISPAA YA ILEMELA

    November 17, 2025
  • DC MKALIPA AHIMIZA VIKAO NA WAZAZI JUU YA MASUALA YA LISHE MASHULENI

    November 17, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.