• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MKURUGENZI AWATAKA MADIWANI ILEMELA KUWAJIBIKA NA KUWA WAWAZI

Posted on: December 15th, 2020

Madiwani wa Ilemela wametakiwa kuwajibika na kuwa wawazi, hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela John Wanga, katika semina elekezi iliyotolewa kwa madiwani hao ambao walikula kiapo siku ya tarehe 02/12/2020.

Semina hiyo elekezi iliyofanyika kwa muda wa siku tatu ililenga kuwajengea uwezo waheshimiwa madiwani hao ili waweze kutekeleza majukumu mbalimbali katika kuhakikisha wanaleta maendeleo yenye tija katika kata zao na halmashauri kwa ujumla.

Aidha aliwataka pamoja na kujenga mazingira bora katika kuwawezesha wananchi ili waweze kutekeleza miradi ya maendeleo pia aliwataka kujitahidi kutokuanzisha na kupunguza migogoro isiyokuwa na tija.

Katika semina hiyo ambayo pia iliwahusisha wataalam wa Manispaa ya Ilemela ambao ndio walikuwa watoa mada wakuu, madiwani waliweza kujua mfumo wa serikali za mitaa misingi yake, namna inavyoendeshwa na sharia mbalimbali zinazotawala muundo na nidhamu ya serikali za mitaa. Halikadhalika waliweza kuelekezwa masuala mbalimbali kuhusiana na dhana nzima ya utawala bora pamoja na kanuni za kudumu za Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

Afisa Usalama wa Wilaya nae aliwasilisha mada kuhusiana na utunzaji wa siri za vikao na kuwaelekeza kuwa madiwani ndio wanaosimamia mustakabali wa halmashauri.Pia aliwataka waweze kuchunga mienendo yao kwani mienendo huakisi tabia na maisha kwa ujumla ili waweze kuwatumikia wananchi ili kuweza kufikia maendeleo tarajiwa.

Mada mbalimbali ziliwasilishwa ikiwemo mahusiano ya kisheria kati ya serikali kuu na serikali za mitaa,pamoja na sharia mbalimbali ambazo zitawaongoza katika kutekeleza majukumu kama viongozi wa wananchi ikiwa ni pamoja na sharia ya maadili ya viongozi wa umma, sharia ya serikali za mitaa.

Aidha walitakiwa kuwa na mahusiano mazuri na watendaji mbalimbali kuanzia ngazi ya Halmashauri hadi ngazi ya mtaa ili kuweza kuwaletea maendeleo wananchi waliwachagua.Pamoja na hayo walikumbushwa kuepukana na rushwa mbalimbali.

Nao madiwani walishumkuru Mkurugenzi wa Manispaa kwa kupatiwa semina hiyo elekezi ambapo wameweza kujifunza masuala mbalimbali na kuomba ushirikiano kutoka kwa wataalam pamoja na kuahidi kuwa watatekeleza majukumu yao na kuzingatia kiapo cha uadilifu walichoapa ili kuweza kuwaletea maendeleo wananchi wa Ilemela.





Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.