• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Machinga Ilemela waaswa kutorejea maeneo hatarishi

Posted on: April 28th, 2022

Wafanyabiashara wadogo maarufu kwa jina la machinga wametakiwa kutorudi katika maeneo ya awali ambayo si salama kwaajili ya kufanya biashara zao.


Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa wilaya ya Ilemela Mhe Hasan Elias Masala wakati akizungumza na wenyeviti wa Serikali za mitaa, watendaji wa kata, watendaji wa mitaa, viongozi wa masoko, wataalam wa biashara na masoko wa wilaya ya Ilemela na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama wa wilaya hiyo ambapo amesikiliza kero na changamoto zinazokabili wafanya biashara hao kwa lengo la kuzipatia ufumbuzi huku akiwataka kutorejea maeneo ya awali waliyokuwa wakifanyia biashara ambayo si salama kwao na biashara zao badala yake kuwaasa kubaki katika maeneo waliotengewa na Serikali kwaajili ya kuendelea na biashara zao kwani Serikali imetumia gharama kubwa kuwawekea miundombinu ikiwemo maji, umeme, barabara na huduma nyengine za msingi ikiwemo taa ili waweze kufanya biashara zao kwa amani na utulivu.



‘.. Hakuna Serikali inayotaka watu wake wateseke, Tumejitahidi kuwaboreshea miundombinu ya masoko kama mlivyotaka, Na tutaendelea kufanya hivyo kwa kadri ya mahitaji ya wakati, Niwaombe wafanyabiashara wasirudi maeneo hatarishi, Watu wote wafanye biashara katika maeneo tuliokubaliana ..’ Alisema
Aidha Mhe Masala amewapongeza wafanya biashara wa wilaya hiyo kwa ushirikiano walioutoa wakati wa zoezi la kupanga wafanya biashara wadogo kwani lilienda vizuri kwa amani na utulivu tofauti na maeneo mengine huku akiwataka kuendelea kuiunga mkono Serikali ya Rais Samia Suluhu Hasan katika kutekeleza mipango mbalimbali ya maendeleo.        


Nae katibu tawala wa wilaya hiyo, Ndugu Said Kitinga amefafanua kuwa Serikali haitamvumilia mfanyabiashara yeyote atakaekaidi maagizo yake huku akiwaasa wanasiasa kutoingilia mchakato wa kuwapanga wafanyabiashara katika maeneo rasmi na kwamba hakuna mtu yeyote aliye juu ya sheria hivyo ni muhimu kutii sheria bila shuruti.


Kwa upande wake Mkurugenzi wa manispaa ya Ilemela Mhandisi Modest Joseph Apolinary amesema kuwa manispaa yake ilishatenga bajeti ya kuhudumia masoko ya wilaya hiyo hivyo kero na changamoto zote zitakuwa zikipatiwa ufumbuzi kwa kadri ya zitakavyojitokeza pamoja na kuwaagiza wataalam wa manispaa hiyo kwa kushirikiana na viongozi wa mitaa na masoko kubainisha mahitaji ya masoko ili yaweze kushughulikiwa.


Akihitimisha kikao hicho katibu msaidizi wa soko la Nyasaka senta Bwana Laurent Alphonce mbali na kuishukuru Serikali kwa kuboresha masoko yake ameiomba kuwarejesha ndani ya soko wafanyabiashara wanaofanya shughuli zao nje ya soko kwa kuwa eneo hilo si salama sanjari na kupunguza vibanda vya soko hilo kwani idadi ya wafanyabiashara ni ndogo ukilinganisha na vibanda vilivyopo jambo linalokwamisha shughuli za ulinzi wa eneo hilo.


Announcements

  • TANGAZO LA KAZI NAFASI YA UDEREVA DARAJA LA II June 04, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • KAMPENI YA KITAIFA YA UTOAJI WA MATONE YA VITAMI A YAFIKIA ASILIMIA 98.7

    June 26, 2025
  • WENZA WA VIONGOZI WATEMBELEA SEKONDARI YA IGOGWE WAPONGEZA JUHUDI ZA SERIKALI

    June 26, 2025
  • DAWATI LA HUDUMA ZA USTAWI WA JAMII KUENDELEA KUIMARISHA UTOAJI WA HUDUMA STENDI YA MABASI NYAMHONGOLO

    June 26, 2025
  • ILEMELA YAPONGEZWA KUPATA HATI SAFI, WITO WATOLEWA KUTOZALISHA HOJA MPYA ZA UKAGUZI

    June 17, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.