• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILEMELA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
      • Mikakati ya MSM
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha ukaguzi wa ndani
      • Kiengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Uhusiano na TEHAMA
    • Kata
      • Sangabuye
      • Nyasaka
      • Buswelu
      • Nyamhongolo
      • Kayenze
      • Bugogwa
      • Shibula
      • Ilemela
      • Kahama
      • Kiseke
      • Pasiansi
      • Kawekamo
      • Ibungilo
      • Nyamanoro
      • Buzuruga
      • Mecco
      • Nyakato
      • Kirumba
      • Kitangiri
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Uvuvi
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Michezo
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya wah. wabunge na madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • MipangoMiji na Mazingira
      • Uchumi Afya na Elimu
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Photos

Machinga Ilemela waaswa kutorejea maeneo hatarishi

Posted on: April 28th, 2022

Wafanyabiashara wadogo maarufu kwa jina la machinga wametakiwa kutorudi katika maeneo ya awali ambayo si salama kwaajili ya kufanya biashara zao.


Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa wilaya ya Ilemela Mhe Hasan Elias Masala wakati akizungumza na wenyeviti wa Serikali za mitaa, watendaji wa kata, watendaji wa mitaa, viongozi wa masoko, wataalam wa biashara na masoko wa wilaya ya Ilemela na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama wa wilaya hiyo ambapo amesikiliza kero na changamoto zinazokabili wafanya biashara hao kwa lengo la kuzipatia ufumbuzi huku akiwataka kutorejea maeneo ya awali waliyokuwa wakifanyia biashara ambayo si salama kwao na biashara zao badala yake kuwaasa kubaki katika maeneo waliotengewa na Serikali kwaajili ya kuendelea na biashara zao kwani Serikali imetumia gharama kubwa kuwawekea miundombinu ikiwemo maji, umeme, barabara na huduma nyengine za msingi ikiwemo taa ili waweze kufanya biashara zao kwa amani na utulivu.



‘.. Hakuna Serikali inayotaka watu wake wateseke, Tumejitahidi kuwaboreshea miundombinu ya masoko kama mlivyotaka, Na tutaendelea kufanya hivyo kwa kadri ya mahitaji ya wakati, Niwaombe wafanyabiashara wasirudi maeneo hatarishi, Watu wote wafanye biashara katika maeneo tuliokubaliana ..’ Alisema
Aidha Mhe Masala amewapongeza wafanya biashara wa wilaya hiyo kwa ushirikiano walioutoa wakati wa zoezi la kupanga wafanya biashara wadogo kwani lilienda vizuri kwa amani na utulivu tofauti na maeneo mengine huku akiwataka kuendelea kuiunga mkono Serikali ya Rais Samia Suluhu Hasan katika kutekeleza mipango mbalimbali ya maendeleo.        


Nae katibu tawala wa wilaya hiyo, Ndugu Said Kitinga amefafanua kuwa Serikali haitamvumilia mfanyabiashara yeyote atakaekaidi maagizo yake huku akiwaasa wanasiasa kutoingilia mchakato wa kuwapanga wafanyabiashara katika maeneo rasmi na kwamba hakuna mtu yeyote aliye juu ya sheria hivyo ni muhimu kutii sheria bila shuruti.


Kwa upande wake Mkurugenzi wa manispaa ya Ilemela Mhandisi Modest Joseph Apolinary amesema kuwa manispaa yake ilishatenga bajeti ya kuhudumia masoko ya wilaya hiyo hivyo kero na changamoto zote zitakuwa zikipatiwa ufumbuzi kwa kadri ya zitakavyojitokeza pamoja na kuwaagiza wataalam wa manispaa hiyo kwa kushirikiana na viongozi wa mitaa na masoko kubainisha mahitaji ya masoko ili yaweze kushughulikiwa.


Akihitimisha kikao hicho katibu msaidizi wa soko la Nyasaka senta Bwana Laurent Alphonce mbali na kuishukuru Serikali kwa kuboresha masoko yake ameiomba kuwarejesha ndani ya soko wafanyabiashara wanaofanya shughuli zao nje ya soko kwa kuwa eneo hilo si salama sanjari na kupunguza vibanda vya soko hilo kwani idadi ya wafanyabiashara ni ndogo ukilinganisha na vibanda vilivyopo jambo linalokwamisha shughuli za ulinzi wa eneo hilo.


Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI- NAFASI YA MTENDAJI MTAA May 23, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA MTENDAJI WA MTAA November 26, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 06, 2022
  • MWALIKO WA KOTESHENI -MAFUNDI UJENZI February 09, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC MASALA 'Wapuuzeni wanaotaka mtoke maeneo rasmi ya biashara'

    May 06, 2022
  • Zaidi ya milioni 60 kuchochea miradi ya maendeleo jimbo la Ilemela

    May 02, 2022
  • Machinga Ilemela waaswa kutorejea maeneo hatarishi

    April 28, 2022
  • Wananchi waaswa kutumia vyandarua vyenye viatilifu kuepuka Malaria

    April 25, 2022
  • Angalia zote

Video

Tangazo la Zabuni Stendi ya Mpya Nyamhongolo
Video zaidi

Ukurasa wa Karibu

  • Kuhakiki Taarifa za Mpiga Kura
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip
  • Maombi ya leseni ya biashara

Kurasa zinazofanana

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Tovuti Kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Anuani ya Posta: 735 MWANZA

    Simu: + 255 736 200910

    Simu:

    Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki 2019 Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela.Haki zote zimeifadhiwa