• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MABORESHO YA MIFUMO YA TEHAMA YARAISISHA UKUSANYAJI MAPATO

Posted on: December 16th, 2024

Manispaa ya Ilemela inaendelea kuboresha mifumo ya TEHAMA katika kuimarisha ukusanyaji mapato katika sekta zote ambazo inajipatia mapato ya ndani kupitia shughuli mbalimbali za uzalishaji mali na kukuza uchumi wa mwananchi mmoja mmoja na Manispaa kwa ujumla.

Hayo yamebainishwa na Afisa uvuvi wa Manispaa ya Ilemela Ivon Maha wakati akiwasilisha taarifa yake ya hali ya uvuvi katika manispaa hiyo kwa wataalam na madiwani kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji wakiongozwa na Mstahiki meya wa Manispaa hiyo Mhe.Baraka Naibula Lupoli walipofanya ziara ya siku 1 kujifunza shughuli mbalimbali za ukusanyaji mapato katika Manispaa ya ilemela.

“..Matumizi ya mfumo wa TAUSI yameturahisishia utoaji wa leseni za uvuvi na malipo ya ada na tozo mbalimbali ,mfumo huu umetusaidia kupunguza mianya ya upotevu wa mapato katika sekta ya uvuvi...” amesema Maha

Theogenes Laurent ni Afisa mapato wa Manispaa ya Ilemela amesema Halmashauri hiyo imepanga kukusanya kiasi cha shilingi Bilioni 14.9 kwa mwaka wa fedha 2024/2025 ambapo mpaka sasa imekusanya 40.31% ya lengo kwa mwaka huu wa fedha na inatarajia kufikia malengo kwa kuendelea kuboresha mifumo ya TEHAMA inayotumika katika kukusanya mapato sambamba na kuendelea kutoa elimu kwa wafanyabiashara na wadau mbalimbali katika kuleta uelewa wa pamoja juu ya umuhimu wa ulipaji ada za leseni na tozo mbalimbali kwa wakati.

Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela Mhe.Renatus Mulunga amesema uongozi wake unaendelea kuimarisha ushirikiano kwani ndio nguzo pekee ya kufanikisha mipango ya Manipaa yake.

Maeneo yaliyotembelewa katika ziara hiyo ni pamoja na Soko la kimataifa la samaki Mwaloni Kirumba lililopo kata ya Kirumba,Mwalo wa Kayenze ndogo uliopo kata ya Bugogwa na Stendi ya mabasi Nyamhongolo

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.