• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MAAFISA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NGAZI YA KATA WAMETAKIWA KUZINGATIA MAELEKEZO YA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI

Posted on: August 14th, 2024

“Ni matarajio ya tume huru kuwa kutokana na semina hii kila mmoja wenu atapata elimu na ujuzi wa kutosha kumuwezesha kutekeleza majukumu yake ili kufanikisha uboreshaji wa daftari la wapiga kura na mtaifanya kazi hii kwa ueledi, bidii na moyo wa kujituma ili kufanikisha zoezi hili”


Kauli hiyo imetolewa na ndugu Egidy Teulas kwa niaba ya afisa mwandikishaji jimbo la Ilemela wakati akifungua mafunzo kwa maafisa waandikishaji wasaidizi ngazi ya kata (ARO Kata) siku ya Jumatano ya tarehe 14/08/2024


Ndugu Egidy amesema kuwa mafunzo hayao yamelenga kuwajengea umahiri wa kuwafundisha waandishi wasaidizi na waendeshaji vifaa vya bayometriki ambao ndio watahusika na uandikishaji wa wapiga kura vituoni.


Aidha ndugu Egidy amewasisitiza wanasemina juu ya umuhimu wa kutekeleza majukumu yao kwa umakini katika kila eneo ikiwemo utunzaji wa vifaa vya uandikishaji kwani vimenunuliwa kwa gharama kubwa sana na vinatarajiwa kutumika maeneo mengine nchini katika zoezi hili la uboreshaji


“Kutokuwa makini katika utunzaji wa vifaa hivi kutapelekea athari kubwa katika ukamilishaji wa zoezi hili muhimu nchini sambamba na hilo mnapaswa kuzingatia maelekezo yote yatakayotolewa na tume ili muweze kuyafanyia kazi wakati wa zoezi litakapokuwa limeanza,”Amesema


Jaji Asina Omari ambae ni mjumbe wa tume huru ya taifa ya uchaguzi amewataka maafisa waandikishaji wasaidizi ngazi ya kata kutambua kuwa wao ni viongozi na kazi yao kubwa ni kuratibu zoezi zima ndani ya kata zao pamoja na kuwaandaa wale wanaoenda kufanya kazi vituoni huku akiwasisitiza kutumia fursa hii ya mafunzo kuuliza maswali kusoma vitabu kufanya mazoezi ili mwisho wa siku zoezi liwe la mafanikio.


“Niwasihi mtumie muda wenu wa mafunzo vizuri sana ili nanyi muweza Kwenda kuwafundisha vizuri waandishi wasaidizi na waendeshaji vifaa vya bayometriki ngazi ya vituo”, amesema jaji Asina


Juma Maila Ngoloma (ARO Kata Nyakato) kwa niaba ya maafisa waandikishaji wasaidizi ngazi ya kata ameahidi kuwa watakuwa makini na mafunzo hayo yatakayotolewa ili waweze kwenda kutoa elimu kwa wasaidizi wa ngazi za vituo.


Kabla ya kuanza mafunzo hayo maafisa waandikishaji wasaidizi ngazi ya kata waliapa kiapo cha kujitoa katika vyama vya siasa na kiapo cha kutunza siri zoezi lililoendeshwa na hakimu mkazi mwandamizi mahakama ya wilaya ya Ilemela, Mhe Juma Dishon Opudo



Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.