• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Maadhimisho ya wiki ya mazingira duniani- Miti 100 yapandwa katika shule ya Sekondari Buswelu

Posted on: June 3rd, 2022

Jumla ya miti 100  imekabidhiwa na kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kwa Manispaa ya Ilemela kwa ajili ya kuadhimisha wiki za mazingira duniani ambapo kilele chake hufanyika kila siku ya Tarehe 05 Juni.

Akikabidhi miti hiyo, mkuu wa Idara ya mazingira na usalama wa TBL kanda ya Mwanza Ndugu Method Marco, amesema kuwa wameamua kutoa miti hiyo ili kuunga juhudi za serikali ya awamu ya sita katika kuadhimisha siku ya mazingira duniani pamoja na kuunga mkono kauli mbiu ya mwaka 2022 isemayo Dunia ni moja tuimepandwa katika Shule ya Sekondari ya Buswelu iliyopo kata ya Buswelu.


Zoezi hilo la upandaji miti limefanyika katika shule ya Sekondari ya Buswelu ikiwa ni moja ya shughuli zilizofanyika kwa ajili ya kuadhimisha wiki ya mazingira duniani

Mhe. Sara Ngw’ani ambae ni Diwani wa kata ya Buswelu akiwa mgeni rasmi amesema kuwa ni wajibu wa kila mmoja kuitunza miti hiyo hadi hapo itakapokuwa mikubwa kwa kutambua umuhimu wake katika maisha ya viumbe hai


Afisa Mazingira wa Manispaa ya Ilemela Ndugu Phinias amesisitiza kwa kusema kuwa, utunzaji wa mazingira ni jukumu letu sote na kuwa ajenda ya serikali ni kufanya usafi na kulinda vyanzo vya maji kuzuia mmonyoko wa udongo na upandaji wa miti ili kukabilina na mabadiliko ya tabia nchi.


Announcements

  • ORODHA MAJINA YA WATENDAJI WA VITUO WALIOTEULIWA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI MWAKA 2025 JIMBO LA ILEMELA October 20, 2025
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA VYUMBA VYA BIASHARA October 16, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -JIMBO LA ILEMELA October 14, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 July 08, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • KAMBI YA MADAKTARI BINGWA WA RAIS SAMIA YAANZA KUTOA HUDUMA ILEMELA

    October 20, 2025
  • TIMU YA MENEJIMENTI ILEMELA YAKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    October 16, 2025
  • DKT BITEKO AZINDUA MRADI WA PANDEMIC FUND, AELEKEZA USIMAMIZI MZURI

    October 15, 2025
  • ELIMU YA MABADILIKO YA TABIA NCHI YATOLEWA KWA MAAFISA UGANI KILIMO MANISPAA YA ILEMELA

    September 29, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.