• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Utumishi na Utawala
        • Mipango na ufuatiliaji
        • Kilimo, Ufugaji na Uvuvi
        • Maendeleo ya Jamii
        • Elimu Sekondari
        • Elimu ya Awali na Msingi
        • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
        • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Miundombinu na Uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Vitengo
        • Mazingira na Usafishaji
        • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
        • Michezo, Utamaduni na Sanaa
        • Fedha na Uhasibu
        • Sheria
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Manunuzi
        • TEHAMA na Takwimu
        • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Maadhimisho ya wiki ya mazingira duniani- Miti 100 yapandwa katika shule ya Sekondari Buswelu

Posted on: June 3rd, 2022

Jumla ya miti 100  imekabidhiwa na kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kwa Manispaa ya Ilemela kwa ajili ya kuadhimisha wiki za mazingira duniani ambapo kilele chake hufanyika kila siku ya Tarehe 05 Juni.

Akikabidhi miti hiyo, mkuu wa Idara ya mazingira na usalama wa TBL kanda ya Mwanza Ndugu Method Marco, amesema kuwa wameamua kutoa miti hiyo ili kuunga juhudi za serikali ya awamu ya sita katika kuadhimisha siku ya mazingira duniani pamoja na kuunga mkono kauli mbiu ya mwaka 2022 isemayo Dunia ni moja tuimepandwa katika Shule ya Sekondari ya Buswelu iliyopo kata ya Buswelu.


Zoezi hilo la upandaji miti limefanyika katika shule ya Sekondari ya Buswelu ikiwa ni moja ya shughuli zilizofanyika kwa ajili ya kuadhimisha wiki ya mazingira duniani

Mhe. Sara Ngw’ani ambae ni Diwani wa kata ya Buswelu akiwa mgeni rasmi amesema kuwa ni wajibu wa kila mmoja kuitunza miti hiyo hadi hapo itakapokuwa mikubwa kwa kutambua umuhimu wake katika maisha ya viumbe hai


Afisa Mazingira wa Manispaa ya Ilemela Ndugu Phinias amesisitiza kwa kusema kuwa, utunzaji wa mazingira ni jukumu letu sote na kuwa ajenda ya serikali ni kufanya usafi na kulinda vyanzo vya maji kuzuia mmonyoko wa udongo na upandaji wa miti ili kukabilina na mabadiliko ya tabia nchi.


Announcements

  • TANGAZO KWA UMMA KUKUMBUSHWA KULIPIA VIWANJA March 28, 2023
  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2022 SHULE ZA SERIKALI NA BINAFSI MANISPAA YA ILEMELA January 29, 2023
  • HATUA ZA KUFUATA KUKATA LESENI KUPITIA MFUMO WA TAUSI April 13, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAPOKEZI YA FEDHA September 30, 2022
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • MIKATABA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.49 YASAINIWA ILEMELA

    May 18, 2023
  • SERIKALI KUCHUKUA HATUA KUDHIBITI MMOMONYOKO WA MAADILI

    May 17, 2023
  • BILIONI 61.3 KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO ILEMELA

    May 15, 2023
  • KAMATI YA LISHE ILEMELA YAHIMIZA UTOAJI ELIMU MASUALA YA LISHE NA UTOAJI CHAKULA MASHULENI

    May 04, 2023
  • Tazama zaidi

Video

TANGAZO LA MRADI WA UWEKEZAJI WA GREEN ROCKY CITY
More Videos

Quick Links

  • Kuhakiki Taarifa za Mpiga Kura
  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip
  • Maombi ya leseni ya biashara

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.