• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

KUKAMILIKA KWA UJENZI WA BARABARA KUIFUNGUA ILEMELA

Posted on: September 5th, 2025

Ujenzi wa barabara za Buswelu - Nyamadoke -Nyamhongolo (Km 9.5) na Barabara ya Buswelu - Busenga -Cocacola (Km 3.3) unatarajiwa kuwa ni wenye manufaa makubwa kwa wananchi wa Manispaa ya Ilemela pamoja na maeneo ya jirani  kwa kurahisisha huduma ya usafiri kwa wananchi na kuvutia uwekezaji na kuongeza kasi ya uwekezaji kwenye maeneo mbalimbali Wilaya ya Ilemela .

Hayo yamebainishwa na Mhandisi Sobe Makonyo (Meneja wa TARURA Wilaya ya Ilemela) alipokuwa akisoma taarifa ya mradi mbele ya kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru, Ndg Ismail Ali Ussi siku ya Jumanne ya tarehe 26 Agosti 2025

Aidha Mhandisi Sobe akisoma taarifa hiyo alifafanua kuwa lengo la mradi huu ambao hadi sasa umefikia asilimia 88 ya ukamilishajini kutatua kero ya ubovu wa barabara na kurahisisha huduma za usafiri na usafirishaji kwa wananchi ambapo hadi kukamilika kwake ujenzi huu utagharimu shilingi 23,490,242,253.00 

Akiweka jiwe la msingi katika ujenzi wa barabara hii, kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Ndg. Ismail Ussi aliwataka wananchi wa Ilemela  kuwa wavumilivu kwani hatua ya ujenzi wa barabara hii ilipofikia matunda yake yataonekana muda si mrefu huku akiwapongeza wakala wa barabara za Mijini na Vijijini (TARURA) kwa usimamizi na ujenzi wa barabara za ndani zilizopo Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela.

“Kama kulikuwa kuna mwananchi ana dhana ya kuwa barabara hii itaendelea kuwa ni hadithi katika maeneo yetu kwa kweli dhana hiyo itabaki kuwa ni hadithi katika kichwa chake, ni kwa sababu ya kiwango kikubwa cha uwekezaji katika barabara hii, mimi binafsi mpaka nimefika hapa nilikuwa najionea utofauti wa hali ya juu, ndugu wananchi endeleeni kuwa wavumilivu kwani hatua ya ujenzi barabara hii ilipofikia muda si mrefu mtayaona matunda yake”. Alisema Ndg Ussi

Sambamba na uwekaji wa jiwe la msingi katika barabara hiyo, Mwenge wa Uhuru 2025 ulizindua mtambo wenye thamani ya shilingi Bil. 1.156 utakaotumika kuboresha  miundombinu ya barabara katika Wilaya ya Ilemela.

Announcements

  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 July 08, 2025
  • TANGAZO LA KAZI NAFASI YA UDEREVA DARAJA LA II June 04, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • VIJANA WAMEHIMIZWA KUTUMIA FURSA ZA KIUCHUMI KATIKA MAENEO YAO KUJIKWAMU KIUCHUMI

    September 05, 2025
  • MRADI WA KISIMA CHA MAJI SAFI KUWANUFAISHA WANANCHI ZAIDI YA 3160

    September 05, 2025
  • KUKAMILIKA KWA UJENZI WA BARABARA KUIFUNGUA ILEMELA

    September 05, 2025
  • VIJANA WAMETAKIWA KUWA UADILIFU KWENYE SHUGHULI ZA KUPAMBANA NA RUSHWA

    September 05, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.