• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

KUELEKEA KILELE CHA MIAKA 61 YA UHURU WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA SUALA LA USAFI

Posted on: December 6th, 2022

Kuelekea kilele cha maadhimisho ya sherehe za miaka 61 ya uhuru wa Tanganyika Disemba 09 wananchi wa Ilemela wametakiwa kujenga utamaduni wa kufanya usafi katika mazingira yanayowazunguka.

Hayo yamesemwa na mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Ilemela ndugu Said Kitinga wakati akizungumza na wananchi na wafanyabiashara wa soko la Kiloleli lililopo kata ya Ibungilo mara baada ya shughuli ya usafi iliyofanyika sokoni hapo.


“Amani na umoja ni nguzo ya maendeleo yetu” ndio kauli mbiu ya maadhimisho haya,hivyo tunao wajibu wa kuendelea kuwa na mazoea ya kufanya usafi katika maeneo yetu yote ya makazi na biashara, suala la usafi hulinda afya zetu na kutunza mazingira kwa ujumla.”Amesema Kitinga


Ndugu Kitinga ameongeza kusema kuwa Tanzania imekuwa ikipiga hatua katika sekta zote kimaendeleo akitolea mfano kwa upande wa sekta ya elimu kuwa yapo mabadiliko mengi yanayoendelea katika Manispaa ya Ilemela ambapo miundombinu mbalimbali ya shule ikiwemo madarasa inaendelea kujengwa na kusema kuwa Ilemela ilipokea kiasi cha Shilingi bilioni 2.2 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa 110 kwa shule za sekondari na kuongeza kuwa fedha ni nyingi zimetolewa na zinaendelea kutolewa na kuwahimiza wananchi kuendelea kuunga mkono jihudi za serikali katika kuleta maendeleo


Nae mwenyekiti wa soko la Kiloleli Kalala Egata ameushukuru uongozi wa manispaa ya Ilemela kwa kuchagua soko hilo kujumuika kufanya usafi kama eneo la mfano kwa maeneo mengine ndani ya Manispaa hiyo huku akiwataka wafanyabiashara sokoni hapo kuyaishi maelekezo ya usafi wa mazingira kila siku.

“Masoko yapo mengi ila leo tumechaguliwa sisi Kiloleli katika shughuli hii kuhamasisha wengine naomba tuyaishi maelekezo na maagizo ya kufanya usafi wa mazingira bila shuruti nyakati zote mahali popote.”Amesema Egata

Kila mwaka ifikapo tarehe 09 Disemba Tanzania huadhimisha miaka kadhaa toka kupata uhuru wake na kwa mwaka 2022 sherehe hizi zimetanguliwa na shughuli mbalimbali za kijamii ikiwemo usafi wa mazingira ambapo uongozi wa Wilaya ya Ilemela wamejumuika na wafanyabiashara katika soko la kilole kufanya usafi.

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.