• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

KAYA ZAIDI YA 374 KUNUFAIKA NA MRADI WA WATOTO WALIOKOSA MALEZI

Posted on: March 13th, 2025

Kaya zaidi ya 374 zinatarajiwa kunufaika na mradi wa watoto waliopoteza malezi na ambao wapo kwenye hatari za kimalezi kwa manispaa ya Ilemela chini ya ufadhili wa shirika lisilo la kiserikali la SOS Childrens Villages Mwanza

Akizungumza na wataalam wa manispaa ya Ilemela katika ukumbi wa jengo jipya la utawala wakati wa utambulisho wa mradi huo Kaimu meneja miradi kutoka shirika la SOS Children jijini Mwanza Bi Elizabeth Swai amefafanua kuwa lengo kuu la mradi huo ni kuhudumia watoto walio katika hatari ya kupoteza malezi ili kwenda sambamba na dira ya serikali katika kupunguza kama si kuondoa kabisa watoto kulelewa katika makao badala yake kuifanya jamii itimize wajibu wake katika malezi

‘.. Tunataka tukamjengee uwezo mzazi au mlezi ili aweze kutimiza wajibu wake katika malezi, Awe na uwezo wa kielimu kutambua fursa na changamoto katika malezi, Tukasaidie familia ambazo watoto wamekata tamaa, Familia tunazodhani tusipozisaidia mtoto ataona bora atoroke nyumbani, bora akaombeombe ..’ Alisema

Aidha Bi Swai ameushukuru uongozi wa manispaa ya Ilemela na idara ya maendeleo ya jamii kwa namna wanavyoshirikiana na taasisi yake katika kusaidia jamii na kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili kupitia utekelezaji wa afua tofauti tofauti

Kwa upande wake afisa mradi Bi Kokutona Kayungi ameongeza kuwa mradi huo utagusa kata za Kayenze, Sangabuye, Bugogwa, Shibula na Nyamhongolo ambapo wenyeviti wa mitaa, wasaidizi wa mashauri ya ustawi wa jamii na kamati za kubaini familia zinazostahili kuhudumiwa na mradi watahusishwa

Sarah Nthangu ni mratibu wa wa mpango huo ambae pia ni afisa maendeleo wa manispaa ya Ilemela ameshukuru kwa utekelezwaji wa mradi huo kwa manispaa ya Ilemela huku akiwaasa wataalam wenzake kuunga mkono mradi huo na kutoa ushirikiano ili utekelezeke kwa ufanisi na urahisi ili manufaa yaliyokusudiwa yapatikane

Uzinduzi wa mradi huo umehudhuriwa na watendaji wa kata, mitaa, maafisa ustawi, elimu, kilimo kwa ngazi ya kata na manispaa kutoka maeneo yatakayonufaika na mradi.

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.