• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

KAYA MASKINI 3912 ZA MANISPAA YA ILEMELA ZANUFAIKA NA TASAF

Posted on: February 1st, 2018

Halmashauri ya manispaa ya Ilemela imehawilisha jumla ya shilingi Milioni 143,704,00.00 kwa kaya 3912 kupitia mpango wa kunusuru kaya masikini (TASAF).


Akizungumza katika zoezi la uhawilishaji wa fedha hizo mratibu wa TASAF Manispaa ya Ilemela ndugu Frank Ngitaoh alisema kuwa hii ni awamu ya tatu tangu kuanza kwa mpango huo ikiwa na mzunguko wa kumi na sita uliojumuisha wanufaika wa mitaa yote ya kata kumi na nane za Kayenze, Sangabuye, Bugogwa, Shibula, Buswelu, Kiseke, Kirumba, Nyamhongolo, Nyakato, Nyasaka, Kawekamo, Pasiansi, Mecco, Buzuruga, Ilemela, Kitangiri na Nyamanoro zilizopo kwenye mpango ikiachwa kata moja ya Kahama ambayo haipo kwenye mpango huo. '.. Tumezifikia kaya 3912 zinazonufaika na mpango huu wa kunusuru kaya masikini katika mzunguko huu wa kumi na sita ambapo zaidi ya milioni mia moja na arobaini na tatu tutazihawilisha kwa walengwa kusudiwa ..' Alisema

Kwa upande wake afisa ufuatiliaji wa mpango huo wa kunusuru kaya masikini (TASAF) kwa mkoa wa Mwanza Ndugu Kagwe Samson Kagwe amewataka wananchi wanaonufaika na mpango huo kuhakikisha wanazitumia vizuri fedha hizo kwa kuanzisha miradi ya uzalishaji itakayowakwamua kutoka katika umasikini huku akiwakumbusha kuwa serikali itawachukulia hatua watu wasio waadilifu na wale wanaokwamisha zoezi hilo pamoja na walengwa watakaotumia vibaya fedha hizo.

Nae Mwenyekiti wa mtaa wa Bugogwa ndugu Kongwe Aloyce Kongwe mbali na kuishukuru Serikali kwa kuendelea na mpango huo uliosaidia wananchi wake kuweza kumudu gharama za maisha ikiwemo kupeleka watoto shule, kuanzisha miradi midogo midogo ya bustani za mboga mboga na biashara ameiomba kuona namna bora itakayo wafanya watu wenye sifa ambao walipuuza kujiunga na mpango wa kunusuru kaya masikini  wakati wa zoezi la  kuhakiki wanufaika ili waweze kurudishwa kwenye mpango na kunufaika

Zoezi la uhawilishwaji wa fedha za mpango wa kunusuru kaya masikini lilihusisha pia utembeleaji wa kaya za mfano kuona shughuli za uzalishaji zinazofanywa na baadhi   ya wanufaika wa mpango huo.

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.