• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

KATIBU MKUU WIZARA YA AFYA AIPONGEZA ILEMELA

Posted on: January 4th, 2018

KATIBU MKUU WIZARA YA AFYA AIPONGEZA ILEMELA



Katibu Mkuu wa Wizara ya afya, Maendeleo ya jamii, jinsia wazee na watoto Mhe Dkt Mpoki Ulisubisya ameipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela kwa ujenzi nafuu wa majengo ya Kituo cha Afya Karume ukihusisha mafundi wazawa ikiwa ni utekelezaji wa lengo la Serikali la kuhakikisha inaboresha huduma za afya na kupunguza vifo vya mama na mtoto.



Hayo ameyasema wakati wa ziara yake aliyoifanya katika kituo hicho cha Afya mara baada ya kukagua majengo ya kutolea huduma za mama na mtoto likiwemo jengo la kuhifadhia maiti, jengo la upasuaji, jengo la maabara na nyumba ya watumishi

‘.. Niwapongeze kwa ujenzi bora na wenye gharama nafuu mliotumia mafundi wenu wa ndani na kama mnavyojua Mheshimiwa Rais John Magufuli ameweka juhudi kubwa sana katika kuhakikisha Serikali inaboresha huduma za afya, na hili limemtofautisha yeye binafsi kama mfanya kazi kwa bidii sasa ni kwa nini na sisi kila mmoja wetu asiwe kama yeye?, …’ Alisema

Aidha Mhe Dkt Mpoki amesisitiza juu ya kuongeza kasi ya mapambano dhidi ya malaria huku akiitaka Ilemela kuwa manispaa ya mfano kati ya manispaa zote zilizo kando ya Ziwa Viktoria kwa kuwa na mafanikio makubwa katika mapambano ya udhibiti wa ugonjwa wa kipindupindu.


Kwa upande wake muwakilishi wa mganga mkuu wa mkoa wa Mwanza Dkt Silas Wambura amefafanua juu ya hatua mbalimbali zinazochukuliwa na mkoa wake katika kuhakikisha huduma za afya zinaimarika na kupunguza vifo vya mama na mtoto.


Kwa niaba ya mkurugenzi wa manispaa ya Ilemela mchumi wa manispaa hiyo Amosi Zephania amemuhakikishia katibu mkuu huyo wa wizara ya afya kutekeleza ushauri na maelekezo yote aliyoyaacha pamoja na kupokea pongezi alizozitoa kufuatia juhudi za manispaa yake katika uboreshaji wa huduma za afya.

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.