• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

KAMPENI YA KITAIFA YA UTOAJI WA MATONE YA VITAMI A YAFIKIA ASILIMIA 98.7

Posted on: June 26th, 2025

Dozi mbili za matone ya vitamin A za kila mwaka zinaweza kuokoa maisha  ya maelfu ya watoto, kwa mujibu wa ripoti ya UNICEF ya mwaka 2018 imebainisha kuwa Vitamin A huimarisha mfumo wa kinga wa mtoto na kumuepusha na magonjwa hatari kama vile surua na kuhara. 

 

Kwa kipindi cha mwezi mmoja, Halmashauri ya manispaa ya Ilemela kama ilivyo kwa halmashauri zingine imeendesha kampeni ya kitaifa ya utoaji wa matone ya Vitamini A , utoaji wa dawa kinga za minyoo ikienda sambamba na upimaji wa hali ya lishe kwa watoto wenye umri wa kuanzia miezi 06 hadi miezi 59 ambapo zaidi ya watoto 77,000 wa halmashauri ya manispaa ya Ilemela wamepatiwa huduma hiyo.

 

“Lengo katika kampeni hii ilikuwa ni kuwafikia watoto 78,406, na hadi kufikia tarehe 26 Juni tumeshatoa huduma kwa watoto 77,412 sawa na 98.7%, tunatarajia kwa muitikio huu wa wazazi hadi kufikia mwisho wa kampeni hii tutakuwa tumevuka malengo", amesema Bi Pilli Kassim, Afisa lishe wa Halmashauri ya Manispaa Ilemela alipotembelea vituo  vya kutolea huduma za afya katika zahanati ya Nyakato na kituo cha afya cha Buzuruga

 

Aidha, Afisa lishe huyo amezitaja faida za matone ya Vitamin A kuwa ni pamoja na kuwakinga na kuwaepusha na maradhi mbali mbali yanayatokana na ukosefu wa Vitamini ‘A’ mwilini, kuimarisha uono kwa watoto na kuongeza damu.

 

Bi. Hawa Masinde Silima na Bi Judith mzingu wakazi wa kata ya Bizuruga ni kati ya ya wazazi waliofika kituo cha afya Buzuruga kwa ajili ya watoto wao kupatiwa huduma ya matone ya vitamini A katika nyakati tofauti wameishukuru kampeni hiyo kwani afya za watoto wao zitaimarika pamoja na kuepusha maradhi ya mara kwa mara kwa watoto wanaokosa huduma muhimu ya chanjo na matone huku wakiwahimiza wazazi ambao hawajawapeleka watoto wao kupatiwa huduma ya Matone ya Vitamin A wahamasike kwani kampeni ya mwezi wa lishe inaelekea ukingoni na huduma zote zinatolewa bure katika vituo vyote vya afya vinavyotoa huduma.

 

Bi. Juliana Martin Methew mkazi wa kata ya nyakato amesema kuwa amefurahishwa na namna wanavyohudumiwa kwa wakati na watoa huduma kwa kuzingatia weledi wa kazi, ametoa wito kwa kina baba kushirikiana na wenza wao kusimamia afya na ustawi wa watoto.

 

Kampeni ya utoaji wa matone ya Vitamin A  chini ya kauli mbiu, "Matone ya Vitamin A ni muhimu kwa ukuaji wa maendeleo ya mtoto;tumfikie kila mtoto popote alipo" ilianza tarehe 01 juni 2025 na inatarajiwa kukamilika tarehe 30 juni 2025


Announcements

  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 July 08, 2025
  • TANGAZO LA KAZI NAFASI YA UDEREVA DARAJA LA II June 04, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI WAFIKIA TAMATI KATIKA MANISPAA YA ILEMELA

    August 19, 2025
  • JAMII YAHIMIZWA KUSHIRIKIANA KATIKA UNYONYESHAJI NA MAKUZI YA MTOTO

    August 07, 2025
  • WIKI YA UNYONYESHAJI MAZIWA YA MAMA;ELIMU YATOLEWA KWA WAKINA MAMA

    August 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA MAZINGIRA YA ELIMU KWA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    August 05, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.