• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa wa Mwanza yakagua utekelezaji wa miradi Ilemela

Posted on: May 29th, 2024

Kamati ya siasa ya CCM mkoa wa Mwanza imeridhishwa na utekelezaji wa  miradi ya maendeleo inayoendelea wilayani Ilemela.


Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza Komredi Michael Lushinge (SMART) alipowaongoza wajumbe wa kamati katika ukaguzi na ufuatiliaji wa utekelezaji wa Ilani ya CCM (2020-2025).


Wakikagua ujenzi wa kipande cha barabara chenye urefu wa Km 2.5 kitakachokamilisha  Barabara ya Nyakato, Buswelu hadi mhonze inayojengwa kwa kiwango cha lami,  Mwenyekiti amepongeza kwa hatua iliyofikia huku akiwasisitiza TANROAD kuhakikisha ujenzi unakamilika kwa wakati ili kiwanufaishe wananchi wanaotumia barabara hiyo.


Kamati hiyo ilikagua ujenzi wa shule mpya ya sekondari Kisenga iliyopo kata ya Kiseke,sambamba na ujenzi wa bweni la wasichana wenye mahitaji maalum katika shule ya msingi Buswelu  ambapo wamempongeza Rais Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuleta fedha za ujenzi wa shule hiyo ya kimkakati.


Mwenyekiti Michael (SMART) mbali na pongezi walizotoa wamemuelekeza Mkurugenzi kuhakikisha shule hiyo inakuwa na walimu wa kutosha hususan kwa masomo ya  sayansi na TEHAMA. Ikiwa ni pamoja na kujenga  uzio katika maeneo ya shule ili kuweza kuwalinda watoto hao na kulinda eneo la shule hizo.


Wakiwa katika kituo cha Afya cha Buzuruga kamati ilikagua jengo la mama na mtoto lilijongewa kwa mapato ya ndani ya halmashauri kamati ilipongeza na kuhimiza ukamilishaji wa ujenzi wa zahanati ya Nyambiti ili iweze kupunguza wingi wa wagonjwa katika kituo hicho.

Pamoja na hayo wamewataka Wakuu wa idara na watendaji wote wa serikali kuhakikisha wanawajibika katika nafasi zao kwa kutoa  huduma bora kwa wananchi ikiwa ni pamoja na  kutatua kero zao kwa wakati.


Katika nyakati tofauti Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Mhe Hassan Masala na Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela Bi Ummy Wayayu wameishukuru kamati hiyo kwa ukaguzi wa miradi huku wakiahidi kuyafanyia kazi maelekezo yote yaliyotolewa.


Jumla ya miradi minne yenye thamani ya takriban shilingi Bilioni 3.5 imekaguliwa na kamati hiyo ya siasa ya CCM mkoa.


Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.