• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

KAMATI YA MTAKUWWA ILEMELA YASISITIZA JAMII KUPINGA UKATILI

Posted on: June 28th, 2024

Mwenyekiti wa kamati ya kupinga ukatili wa wanawake na watoto (MTAKUWWA) wa Manispaa ya Ilemela ndugu Leonard Masale ameitaka jamii ya Ilemela kuungana kupinga ukatili wa namna yoyote ndani ya jamii.


Akizungumza wakati wa kikao cha robo ya mwisho wa mwaka wa fedha 2023/2024 chenye lengo la kujadili utekelezaji wa mpango wa taifa wa kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto Masale amesema


"Ulinzi na usalama wa wanawake na watoto ni wajibu wa watu wote mahali popote walipo."


Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa shughuli mbalimbali za MTAKUWWA mratibu wa kamati hiyo Bi.Sara Nthangu ameainisha mafanikio ya kamati ni pamoja na kuundwa kwa madawati ya kijinsia 32 ya kupinga ukatili dhidi ya watoto ndani na nje ya shule, jumla ya mabaraza 24 yamejengewa uwezo wa kupinga ukatili ndani ya jamii.


Aidha jumla ya kamati 7 za ulinzi wa wanawake na watoto katika kata 7 zimejengewa uwezo sambamba na vikundi 27 vya malezi katika kata hizo 7 .


" Jamii sasa hivi imeingiliwa na vitu vingi sana vinavyomuathiri mtoto moja kwa moja kuna ubakaji,ulawiti ambao unazidi kushika kasi embu tuwalinde watoto angalau kwa kuboresha malezi na kutenga muda wa kizungumza nao kwa undani." Amesema Mzee maarufu mama Consolata Saanane.


Kamati hiyo imejadili suala la ulinzi wa watu wenye ulemavu wa ngozi huku ikitaka kuwe na mpango maalum wa kuwalinda.


" Manispaa ya Ilemela tutaendelea na mpango wa kuboresha miundo mbinu upande wa elimu maalum,mpaka sasa tutaendelea na ujenzi na ukamilishaji wa mabweni mawili kwa ajili ya watoto wenye mahitaji  maalum pamoja na watoto wenye u albino,tunaamini watoto hao watakuwa salama chini ya uangalizi maalum." Afisa elimu maalum Ilemela Bi.Sarah Ulimboka


Kamati hiyo imepinga vikali imani za kishirikina zinazohusisha vifo vya watu wenye u albino kwa mlengo wa kupata mali au vyeo vikubwa kwa viongozi wa ngazi mbalimbali.


Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • "TUUFANYE USAFI KUWA NI TABIA YA KUDUMUA": ANNA MBAO

    May 31, 2025
  • WATAALAM WA MANISPAA YA ILEMELA WAJENGEWA UWEZO MATUMIZI YA MFUMO WA MANUNUZI WA UMMA

    May 29, 2025
  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.