• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

KAMATI YA LISHE ILEMELA YAHIMIZA UTOAJI ELIMU MASUALA YA LISHE NA UTOAJI CHAKULA MASHULENI

Posted on: May 4th, 2023

Kamati ya lishe imekutana na kujadili utekelezaji wa shughuli za lishe katika Manispaa ya Ilemela ambapo Afisa Lishe Bi paulina Machango aliwasilisha taarifa hiyo akiainisha shughuli mbalimbali ambazo zimetekelezwa katika kipindi cha robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2022/2023 Januari – Machi


Taarifa juu ya kadi alama ya lishe ikiwa na viashiria 12 ambavyo vinatumika kufuatilia utekelezaji wa afua za lishe iliwasilishwa ambapo wajumbe kwa pamoja walikubaliana kuwa nguvu zaidi iongezwe katika utoaji elimu ya lishe kwa jamii ya Ilemela.


Aidha Bi Pauline Machango aliwasilisha taarifa ya utekelezaji wa shughuli za lishe katika robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2022/23 ambapo alizitaja shughuli mbalimbali zilizotekelezwa katika kipindi hicho baadhi yake ni; kutoa elimu ya lishe kwa wazazi/walezi katika kata tatu za Nyamhongolo, Bugogwa na Ilemela, usimamizi shirikishi pamoja na uhakiki wa ubora wa takwimu za viashiria vya lishe kwa vituo vya kutolea hudu,a za afya ya mama na mtoto, ununuzi wa chakula dawa kwa ajili ya kutibu watoto wenye umri chini ya miaka 5 wenye utapiamlo pamoja na shughuli nyingine.


Kupitia kamati hiyo ya lishe, iliwasilishwa taarifa ya utekelezaji wa mpango wa chakula mashuleni ambapo Mkuu wa divisheni ya Elimu Msingi na awali Mwalimu Busungu, akiwasilisha taarifa ya utoaji chakula kwa shule za msingi ilemela amesema kuwa hadi kipindi hiki jumla ya shule 52 kati ya 76 za serikali zimeanza kutoa lishe shuleni na kuahidi hadi kufikia mwisho wa mwezi wa tano shule zote zinatoa lishe, Kwa upande elimu sekondari Mwalimu Mrimi alisema kuwa jumla ya shule 10 kati ya 32 za serikali zinatoa chakula  


Wajumbe walisisitiza juhudi zaidi zifanyike kuhakikisha shule zote zinatekeleza mpango wa chakula mashuleni pamoja na kufanya ufuatiliaji wa karibu kuhusu utoaji wa chakula katika shule zote za msingi na sekondari kwa kuhakikisha unafanyika ikiwa ni pamoja na kuhakikisha pia chakula kinachotolewa kiwe ni kilichoongezwa virutubishi ili kuboresha afya za wanafunzi


Katika mwaka wa fedha 2022/2023 halmashauri kupitia idara ya afya imetenga kiasi cha shilingi milioni 85.8 kutoka mapato ya ndani hii ni kulingana na idadi ya watoto walio chini ya umri wa miaka mitano kwa ajili ya kutekeleza shughuli za lishe na hadi sasa utekelezaji wa shughuli za lishe umefikia asilimia 77.5


PICHA MBALIMBALI ZA KIKAO CHA KAMATI YA LISHE ILEMELA


Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.