• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Maadili ya Msingi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Utumishi na Utawala
        • Mipango na ufuatiliaji
        • Kilimo, Ufugaji na Uvuvi
        • Maendeleo ya Jamii
        • Elimu Sekondari
        • Elimu ya Awali na Msingi
        • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
        • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Miundombinu na Uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Vitengo
        • Mazingira na Usafishaji
        • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
        • Michezo, Utamaduni na Sanaa
        • Fedha na Uhasibu
        • Sheria
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Manunuzi
        • TEHAMA na Takwimu
        • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

KAMATI YA LISHE ILEMELA YAHIMIZA UTOAJI ELIMU MASUALA YA LISHE NA UTOAJI CHAKULA MASHULENI

Posted on: May 4th, 2023

Kamati ya lishe imekutana na kujadili utekelezaji wa shughuli za lishe katika Manispaa ya Ilemela ambapo Afisa Lishe Bi paulina Machango aliwasilisha taarifa hiyo akiainisha shughuli mbalimbali ambazo zimetekelezwa katika kipindi cha robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2022/2023 Januari – Machi


Taarifa juu ya kadi alama ya lishe ikiwa na viashiria 12 ambavyo vinatumika kufuatilia utekelezaji wa afua za lishe iliwasilishwa ambapo wajumbe kwa pamoja walikubaliana kuwa nguvu zaidi iongezwe katika utoaji elimu ya lishe kwa jamii ya Ilemela.


Aidha Bi Pauline Machango aliwasilisha taarifa ya utekelezaji wa shughuli za lishe katika robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2022/23 ambapo alizitaja shughuli mbalimbali zilizotekelezwa katika kipindi hicho baadhi yake ni; kutoa elimu ya lishe kwa wazazi/walezi katika kata tatu za Nyamhongolo, Bugogwa na Ilemela, usimamizi shirikishi pamoja na uhakiki wa ubora wa takwimu za viashiria vya lishe kwa vituo vya kutolea hudu,a za afya ya mama na mtoto, ununuzi wa chakula dawa kwa ajili ya kutibu watoto wenye umri chini ya miaka 5 wenye utapiamlo pamoja na shughuli nyingine.


Kupitia kamati hiyo ya lishe, iliwasilishwa taarifa ya utekelezaji wa mpango wa chakula mashuleni ambapo Mkuu wa divisheni ya Elimu Msingi na awali Mwalimu Busungu, akiwasilisha taarifa ya utoaji chakula kwa shule za msingi ilemela amesema kuwa hadi kipindi hiki jumla ya shule 52 kati ya 76 za serikali zimeanza kutoa lishe shuleni na kuahidi hadi kufikia mwisho wa mwezi wa tano shule zote zinatoa lishe, Kwa upande elimu sekondari Mwalimu Mrimi alisema kuwa jumla ya shule 10 kati ya 32 za serikali zinatoa chakula  


Wajumbe walisisitiza juhudi zaidi zifanyike kuhakikisha shule zote zinatekeleza mpango wa chakula mashuleni pamoja na kufanya ufuatiliaji wa karibu kuhusu utoaji wa chakula katika shule zote za msingi na sekondari kwa kuhakikisha unafanyika ikiwa ni pamoja na kuhakikisha pia chakula kinachotolewa kiwe ni kilichoongezwa virutubishi ili kuboresha afya za wanafunzi


Katika mwaka wa fedha 2022/2023 halmashauri kupitia idara ya afya imetenga kiasi cha shilingi milioni 85.8 kutoka mapato ya ndani hii ni kulingana na idadi ya watoto walio chini ya umri wa miaka mitano kwa ajili ya kutekeleza shughuli za lishe na hadi sasa utekelezaji wa shughuli za lishe umefikia asilimia 77.5


PICHA MBALIMBALI ZA KIKAO CHA KAMATI YA LISHE ILEMELA


Announcements

  • TANGAZO LA BODI YA MFUKO WA ELIMU July 20, 2023
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA MANISPAA YA ILEMELA July 13, 2023
  • TANGAZO KWA UMMA KUKUMBUSHWA KULIPA VIWANJA June 23, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA AFISA MTENDAJI WA MTAA (II) June 20, 2023
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RC MAKALLA AWATAKA WATENDAJI KUTATUA KERO ZA WANANCHI

    September 19, 2023
  • GESI NISHATI MBADALA RAFIKI WA MAZINGIRA: MHE MABULA

    September 16, 2023
  • WANANCHI WA ILEMELA WAMETAKIWA KUFANYA USAFI KUWA AJENDA YA KUDUMU

    September 16, 2023
  • RC MAKALLA AIPONGEZA ILEMELA UKAMILISHAJI WA MRADI WA BOOST

    September 14, 2023
  • Tazama zaidi

Video

WITO WATOLEWA KWA WANAFUNZI WALIORIPOTI KIDATO CHA TANO SHULE ZA ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Kuhakiki Taarifa za Mpiga Kura
  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip
  • Maombi ya leseni ya biashara

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.