• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA ILEMELA YAZITAKA TAASISI BINAFSI KUWASILISHA TAARIFA ZA UTENDAJI KAZI

Posted on: April 19th, 2017

KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI MANISPAA YA ILEMELA YAZITAKA TAASISI BINAFSI  KUWASILISHA TAARIFA ZA UTENDAJI KAZI WAO


Mwenyekiti wa kamati ya Kudhibiti Ukimwi ya Manispaa ya Ilemela Mheshimiwa Shaaban Maganga amezitaka taasisi binafsi zinazofanya kazi ndani ya Manispaa ya Ilemela  kuwasilisha taarifa  za utekelezaji wa shughuli zao za kila siku. kwa serikali

Maagizo hayo yalitolewa wakati wa ziara ya kamati hiyo ya robo ya tatu iliyohusisha  upokeaji wa taarifa za mpango wa jinsia na ukimwi, upimaji wa Virusi vya Ukimwi , tiba, matunzo  na mpango wa kudhibiti ukimwi kutoka katika mashirika yasiyo ya kiserikali ya kivulini , Busega Microfinance Bureau na kituo cha kutolea huduma za upimaji na vvu kilichopo ndani ya kituo cha afya cha Buzuruga

Akizungumza katika ziara hiyo Mheshimiwa Maganga amesema kuwa ipo haja kwa taasisi zote zinazofanya kazi ndani ya wilaya yake kuwasilisha taarifa za utekelezaji wa shughuli zake za kila siku kwa serikali lengo likiwa ni kuzisimamia na kuhakikisha zinatekeleza malengo ya kuanzishwa kwake sambamba na kuzuia vitendo vya uvunjifu wa sheria na taratibu walizojiwekea


“Niziombe taasisi zote zinazofanya kazi ndani ya wilaya yetu kuwa na utaratibu wa kuwasilisha taarifa za utendaji wao wa kazi za kila siku, lengo sio baya hii itasaidia kujua uhalisia wa wanachokifanya na uwajibikaji wao kwa jamii mana kuna nyengine hazitekelezi yale yaliyokusudiwa kwa kuanzishwa kwake na madhara yanapotokea mwenye taasisi anakuwa hayupo ila serikali ipo nakubeba hasara zote” Alisema.

Kwa upande wake Mganga Mkuu wa manispaa ya Ilemela  Daktari Wilfred Rwechungura aliongeza kwa kusema kuwa kuwa taasisi nyingi zimekuwa zikifanya shughuli zake kwa mazoea bila kufuata taratibu na sheria za serikali kunakosababisha migongano na sintofahamu kwa jamii




“Zipo taasisi zinatoa elimu ya mambo ya uzazi kwa watoto je wanatumia mtaala gani? Inawezekana badala ya kupambana na maambukizi ya virusi vya ukimwi tukawa ndo tunachochea maambukizi mapya kwa kuwapa elimu yakutosha na mwisho wakaanze kujaribu” alisema.

Akihitimisha ndugu Methew Shadrack mkurugenzi wa kituo cha Busega Microfinance Bureau Limited kilichopo Kiloleli ameishukuru kamati kwa kutembelea kituo chake mbali na kuahidi uwasilishaji wa taarifa za utendaji wake wa kazi amesema kuwa ataendelea kushirikiana na serikali pamoja na kufata taratibu zote katika kuifikia dhamira ya serikali ya kuletea maendeleo kwa wananchi



Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.