• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI ELIMU NA AFYA YAFANYA UFUATILIAJI WA SHUGHLI MBALIBALI ZA MAENDELEO

Posted on: April 21st, 2017

KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI ELIMU NA AFYA YAFANYA UFUATILIAJI WA SHUGHULI MBALIMBALI ZA MAENDELEO


Kamati ya huduma ya uchumi elimu na afya ya manispaa ya Ilemela imefanya ziara kwa ajili kufuatilia utekelezaji wa shughuli za kimaendeleo katika manispaa kwa robo ya tatu kwa mwaka wa fedha 2016/2017.

Ziara hiyo ililenga kutembelea na kukagua namna kilimo cha mabanda (green house) kinavyoendeshwa katika eneo la Nyamhongolo pamoja na kukagua hali ya utoaji huduma katika zahanati za Kirumba na kitangiri halikadhalika ujenzi wa madarasa katika shule za sekondari na msingi.

Akizungumza katika ziara hiyo Mwenyekiti wa kamati hiyo, Mheshimiwa Sarah Ng’wani  amesema kuwa  ni wajibu kwa wananchi kuchangia shughuli za maendeleo ili kuunga mkono jitihada za Serikali katika kuleta maendeleo ya pamoja kwa jamii

“Sera ya Serikali ni kushirikisha wananchi katika kufanikisha miradi ya maendeleo serikali inapofanya nusu na mwananchi nae achangie nusu iliyobaki hatutaunga mkono mradi wowote wa maendeleo ambao hauna ushiriki wa wananchi, tuwaombe waanze kuchangia shughuli za kimaendeleo na patakapobakia halmashauri itamalizia”, Alisisitiza


Nae ndugu Amosi Zephania akimwakilisha Mkurugenzi wa Manispaa amesisitiza kuwa Serikali haitawavumilia wananchi wanaokwamisha kwa makusudi miradi ya maendeleo sambamba na kuwaomba viongozi wa maeneo yenye changamoto ya uelewa wa wananchi katika kuchangia kushirikisha wataalamu wa manispaa katika kuelimisha jamii juu ya umuhimu wa kuchangia maendeleo

Kamati hiyo pia imedhamiria kuimarisha miradi ya kilimo itakayotoa ajira nyingi kwa vijana katika kukabiliana na tatizo la ajira sambamba na utatuzi wa changamoto zote za miradi inayoendelea ili kuwaletea wananchi wa Ilemela maendeleo.



Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.