• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Kamati ya huduma za jamii Ilemela yafanya ziara kukagua miradi ya maendeleo

Posted on: October 21st, 2021

Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela inaendelea na ufuatiliaji na usimamizi wa matumizi bora ya fedha katika miradi mbalimbali inayoendelea wilayani humo .

Hayo yamethibitishwa kupitia kamati ya huduma,elimu na afya ya Ilemela inayoongozwa na Mwenyekiti wake Mhe.Andrew Nginila ambae pia ni diwani kata ya Nyamhongolo ilipotembelea mradi wa ujenzi wa wodi tatu wenye gharama ya kiasi cha shillingi milioni 500 mpaka ukamilifu wake katika hospitali ya Wilaya ya Ilemela .

Mheshimiwa Nginila amesema ni muhimu kwa wodi hizo kukamilika kwa wakati kwani tayari wakazi wa Isanzu na maeneo mengine ya jirani wameanza kunufaika na uwepo wa huduma hizo.

“Kazi hii ikamilike kwa wakati kama mhandisi ulivyoahidi ili ikalete tija na ufanisi uliokusudiwa,ni wajibu wetu kusimamia fedha hizi kwani tunajiridhisha kuwa wananchi wetu wanakwenda kupata kilicho bora na wanachostahili.”amesema

Akizungumza walipokuwa katika mradi wa ujenzi wa vyumba vya madarasa katika shule mpya ya sekondari Masanza Mchumi wa Manispaa ndugu Mophen amesisitiza kuboreshwa kwa usimamizi na ufatiliaji wa fedha zote za miradi ya umma.

“Tunaupongeza uongozi wa kata ya Kahama kwa kazi nzuri wanayoendelea nayo ya ujenzi wa vyumba vinne vya madarasa,maabara mbili na ofisi tatu  kwa nguvu za wananchi,hapa halmashauri imetoa milioni 69 tu kwa ajili ya ukamilishwaji wa ujenzi wa majengo haya, ambapo kweli tunaona thamani ya fedha kwa macho.” Amesema

Miradi mingine iliyotembelewa ni pamoja na ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa kwa nguvu ya wananchi mpaka hatua ya boma na ukamilishwaji wake na manispaa kuchangia kiasi cha shilingi milioni 15 sambamba na mradi wa jengo la huduma za uzazi katika zahanati ya Nyamhongolo.

Kamati hiyo imesisitiza kipaumbele cha matumizi ya mafundi wakazi katika maeneo husika ya miradi ikiwa ni moja ya njia ya kupunguza gharama za ujenzi na kupata kitu kizuri kwa bei nafuu.


Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.