• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

JUKWAA LA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI LAZINDULIWA ILEMELA

Posted on: May 19th, 2017

JUKWAA LA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI LAZINDULIWA ILEMELA

Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela imezindua jukwaa la uwezeshaji kiuchumi kwa wanawake wa wilaya hiyo ikiwa ni mkakati wa kuhakikisha inawainua kiuchumi sambamba na utekelezaji wa agizo la mlezi wa wilaya hiyo na Makamu wa Rais wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu alilolitoa mapema mwaka huu

Akimkaribisha Mgeni rasmi, Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela amemuhakikishia Mkuu wa Wilaya kuwa Manispaa yake kupitia baraza la madiwani itaendelea kutoa ushirikiano na kusaidia wanawake kuweza kujikwamua kiuchumi kama inavyofanya sasa kwa kutoa mapato yake ya ndani kwa kina mama na vijana waweze kujikwamua kiuchumi

Katika uzinduzi huo mgeni rasmi na mkuu wa Wilaya ya Ilemela Daktari Leonard Masale amewataka wanawake hao kulitumia jukwaa hilo katika kujadili fursa na changamoto zinazowakabili na kuzipatia ufumbuzi na kuwataka kutumia kama njia ya kujikwamua kiuchumi kwa kujihusha na shughuli za uzalishaji ili kuifikia Tanzania ya Viwanda.

“Kajadilini fursa na mkazifahamu changamoto  kisha mshiriki katika kuzipatia ufumbuzi kwa kufanya biashara au shughuli zozote za kiuchumi, Ndugu zangu Tunalo tatizo hatupeani taarifa na hizi fursa hatuwezi kuziona kama hatupeani taarifa”, Alisisitiza

Nae Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Ilemela Kheri James amewahakikishia wanawake waliohudhuria uzinduzi huo kuwa Mbunge wao na naibu Waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi Mheshimiwa Daktari Angeline Mabula pamoja na majukumu ya kitaifa aliyonayo anatambua changamoto wanazokumbana nazo na kuongeza kuwa ataendelea kuwasemea na kuwapigia katika kuhakikisha wanawake wanajikwamua kimaendeleo

Uzinduzi wa jukwaa hilo ambalo limejumuisha wanawake kutoka kata zote 19 za Manispaa ya Ilemela lilifuatiwa na uchaguzi wa viongozi wa jukwaa hilo  ambapo ndugu Winfride Mgendi alichaguliwa kuwa mwenyekiti na Ulowa Paulo kuwa katibu wa jukwaa hilo.



Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • "TUUFANYE USAFI KUWA NI TABIA YA KUDUMUA": ANNA MBAO

    May 31, 2025
  • WATAALAM WA MANISPAA YA ILEMELA WAJENGEWA UWEZO MATUMIZI YA MFUMO WA MANUNUZI WA UMMA

    May 29, 2025
  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.