• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

JESHI LA ZIMAMOTO WILAYA YA ILEMELA LATOA MAFUNZO KWA WATUMISHI

Posted on: February 10th, 2025

Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela kupitia jeshi la zimamoto la Wilaya ya Ilemela imeendesha mafunzo ya siku moja kwa watumishi wake juu ya tahadhari za moto katika maeneo ya kazi na majumbani.

Akizungumza wakati akifungua mafunzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Manispaa hiyo kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela Bi.Neema Semwaiko amesema ni muhimu kwa watumishi na wananchi wote kwa ujumla kufahamu tahadhari za moto ili kuweza kuepuka madhara ya moto yanayoweza kuleta hasara kubwa.

".. Mazingira yetu ya kazi tunaweza kuyaona ni mazuri ,bila ya kuwa na uelewa wa masuala ya tahadhari za moto ni hatari sana.."

Akitoa mafunzo kwa watumishi Mrakibu msaidizi Deusdedith Rutha Mkuu wa zimamoto (W) Ilemela ameainisha sababu zinazoweza kusababisha majanga ya moto ikiwemo matumizi ya vifaa vya umeme visivyo na ubora,moto wa makusudi, kutumia vifaa vingi vya umeme katika mkondo mmoja kupita uwezo wake.

Kuacha chakula kinachemka jikoni bila uangalizi pia inaweza kusababisha ajali ya moto.

"..Nawasihi wananchi wote kuchukua tahadhari kwa kuongeza umakini katika maisha yetu ya kila siku tunapotumia moto. Namba yetu ya dharura ni 114.."

Mkuu huyo wa zimamoto amewataka wananchi wote kuwa na mahusiano mazuri na kuishi kwa kusaidiana hasa katika nyakati za majanga .

Nae Coplo Jonas Burton amefafanua kuhusu mbinu za kuzima moto kwa kupoza ambapo vifaa maalum vya kuzimia moto "fire extinguisher"hutumika, kufunika moto kwa kutumia blanketi maalum  au nguo iliyoloweshwa maji sambamba na kutumia mpira maalum "fire ball" unaweza kutumiwa na yeyote kwa mazingira ya moto mdogo .

Mtunza kumbukumbu katika masjala ya Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Bi.Kubini Peter ameushukuru uongozi wa Manispaa hiyo kwa kuruhusu mafunzo hayo ambayo yamekuwa na tija kubwa kwao.

Akihitimisha mafunzo hayo Mkuu wa divisheni ya utumishi Egidy Teuras amesema mafunzo hayo ni sehemu ya kuwajali watumishi wake katika kuhakikisha kuwa wanakuwa salama na wanaelewa matumizi sahihi ya miundo mbinu mbalimbali inayowazunguka wakiwa kazini na hata majumbani.

Announcements

  • TANGAZO LA KAZI NAFASI YA UDEREVA DARAJA LA II June 04, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • KAMPENI YA KITAIFA YA UTOAJI WA MATONE YA VITAMI A YAFIKIA ASILIMIA 98.7

    June 26, 2025
  • WENZA WA VIONGOZI WATEMBELEA SEKONDARI YA IGOGWE WAPONGEZA JUHUDI ZA SERIKALI

    June 26, 2025
  • DAWATI LA HUDUMA ZA USTAWI WA JAMII KUENDELEA KUIMARISHA UTOAJI WA HUDUMA STENDI YA MABASI NYAMHONGOLO

    June 26, 2025
  • ILEMELA YAPONGEZWA KUPATA HATI SAFI, WITO WATOLEWA KUTOZALISHA HOJA MPYA ZA UKAGUZI

    June 17, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.