• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

JAMII YAHIMIZWA LISHE BORA KATIKA MAKUZI YA MTOTO

Posted on: February 26th, 2025

Jamii ya Ilemela imehimizwa kuzingatia lishe bora katika siku 1000 muhimu za ukuaji wa mtoto ambazo hujumisha tangu kutungwa kwa ujauzito hadi miaka miwili kwani ndio mahali msingi wa maendeleo kwa binadamu wote unapoanzia.

Akizungumza na wakazi wa kata ya Sangabuye mtaa wa Imalang'ombe wakati wa maadhimisho ya siku ya afya na lishe ya mtaa (SALIM) zoezi ambalo ni endelevu Afisa lishe wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela Bi Pili Khasim amesema ni muhimu familia hasa kina mama kufuatilia lishe bora kwa watoto wao kwa kuhakikisha wanakula makundi yote muhimu ya vyakula kwa uwiano ulio sahihi.

".. mtoto anaekula mlo kamili ubongo wake unakuwa vizuri na hata kufundishika darasani au katika maisha ya kawaida inakuwa rahisi.." 

Bi. Pili ameongeza kuwa lengo ilikuwa ni kuwafikia watoto 70 kwa kuwapatia huduma mbalimbali za afya katika mtaa huo ambapo jumla ya watoto 68 sawa na 97% ya lengo wamefikiwa na kuhudumiwa.

Elizabeth Seleman ni muuguzi katika hospitali ya Wilaya ya Ilemela iliyopo kata ya Sangabuye anasema kina mama wengi hawahudhurii kliniki kwa wakati na wengine kujifungulia majumbani hali inayopelekea baadhi ya watoto kukosa chanjo muhimu za awali punde mtoto anapozaliwa ili kujikinga na maradhi .

".. huduma hii ya mtaa kwa mtaa ni nzuri kwani inawafikia kinamama wengi wasiokuwa na utamaduni wa kwenda hospitali.."

Rahel Samwel ni mkazi wa mtaa wa Imalang'ombe yeye anapongeza uongozi wa Manispaa ya Ilemela kwa kuwasogezea huduma mbalimbali za afya na kwamba imewapunguzia safari ndefu ya kwenda zahanati ya Kabusungu.

Huduma za afya zinazotolewa SALIM ni utoaji wa elimu ya lishe,upimaji wa mzingo wa mkono kuangalia ukondefu,upimaji wa uwiano wa urefu kwa umri,uzito kwa umri,huduma za chanjo,elimu kwa wajawazito sambamba na jiko darasa.

















Announcements

  • TANGAZO LA KAZI NAFASI YA UDEREVA DARAJA LA II June 04, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • KAMPENI YA KITAIFA YA UTOAJI WA MATONE YA VITAMI A YAFIKIA ASILIMIA 98.7

    June 26, 2025
  • WENZA WA VIONGOZI WATEMBELEA SEKONDARI YA IGOGWE WAPONGEZA JUHUDI ZA SERIKALI

    June 26, 2025
  • DAWATI LA HUDUMA ZA USTAWI WA JAMII KUENDELEA KUIMARISHA UTOAJI WA HUDUMA STENDI YA MABASI NYAMHONGOLO

    June 26, 2025
  • ILEMELA YAPONGEZWA KUPATA HATI SAFI, WITO WATOLEWA KUTOZALISHA HOJA MPYA ZA UKAGUZI

    June 17, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.