• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

JAMII ILEMELA YAASWA KUWA NA MAZOEA YA KUFANYA USAFI

Posted on: June 22nd, 2024

“ Usafi ni afya na afya ni usafi .”


Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela Bi.Ummy Wayayu alipokuwa akizungumza na wafanyabiashara wa soko la Sabasaba lililopo kata ya Ilemela wakati wa zoezi la kuhamasisha jamii kuwa na mazoea ya kupenda kufanya usafi kwenye maeneo yao kwa vitendo.


Pamoja na zoezi la usafi wafanyabiashara hao walipata fursa ya kutoa maoni yao juu ya uboreshwaji wa soko lao na kumuomba Mkurugenzi na uongozi wa Halmashauri kuona namna bora zaidi ya kuimarisha miundo mbinu kama vyoo na kulipanua soko hilo ili wafanyabiashara wengi wapate nafasi ndani ya soko.


“ Soko hili ni salama watu wengi wanatamani kufanya biashara hapa changamoto ni ufinyu wa eneo na uwezeshwaji wa mitaji. “ Mwenyekiti wa soko la Sabasaba Khasim Hasani Msangi


Aidha Mkurugenzi Ummy amewahakikishia wafanyabiashara hao kuwa Halmashauri yake ipo na mpango wa maboresho ya masoko yote ya ndani ya manispaa kwa kuzingatia kuwa masoko ni miongoni mwa vyanzo vya kuingiza mapato ambayo husaidia kutoa huduma mbalimbali za kijamii.


Nae diwani wa kata ya Ilemela Mhe.Wilbard kilenzi amewataka wananchi hao kuwa watulivu kuhusu suala la mikopo ya 10% ya wanawake ,vijana na walemavu kwani halmashauri miongozo na utaratibu mzuri wa kuanza kutolewa kwa mikopo hiyo.


Akihitimisha mkutano huo Mkurugenzi amewataka wafanyabiashara hao ambao tayari wana mikopo ya Halmashauri kukamilisha marejesho ya mikopo yao ili kutoa fursa kwa wahitaji wengine kukopa na kufanya zoezi la kuopesha kuwa endelevu.


Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA ASILIMIA 10 November 21, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA ASILIMIA 10 November 21, 2025
  • ORODHA MAJINA YA WATENDAJI WA VITUO WALIOTEULIWA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI MWAKA 2025 JIMBO LA ILEMELA October 20, 2025
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA VYUMBA VYA BIASHARA October 16, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • MADIWANI ILEMELA WAAPISHWA, BARAZA KUANZA KAZI RASMI

    December 03, 2025
  • ILEMELA YAANZA MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI 2026/2027

    November 25, 2025
  • "UPANDAJI WA MICHE YA MATUNDA UWE ENDELEVU";DC MKALIPA

    November 20, 2025
  • WATAHINIWA 7912 KUFANYA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE 2025 MANISPAA YA ILEMELA

    November 17, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.