• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

ILEMELA YAZINDUA AWAMU YA PILI YA UPIMAJI WA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI

Posted on: July 1st, 2019

Manispaa ya Ilemela imezindua awamu ya pili ya upimaji wa Saratani ya mlango wa kizazi kwa wanawake bila gharama yoyote zoezi litakaloendeshwa katika vituo vya afya vya Sangabuye na Buzuruga kuanzia Julai 01 hadi Julai 05, 2019.

Akizindua zoezi hilo la upimaji, Mbunge wa Jimbo la Ilemela Mheshimiwa Daktari Angeline Mabula ameishukuru Serikali na wadau wa maendeleo kutoka chuo kikuu cha Calfornia nchini Marekani kwa kuendesha zoezi hilo litakalosaidia kupunguza vifo vitokanavyo na ugonjwa wa Saratani sanjari na kurithisha  ujuzi kwa wataalam wazawa watakaoendelea na utoaji wa huduma mara baada ya kuisha kwa kampeni ya pamoja.

‘.. Tuna kila sababu ya kuishukuru Serikali ya awamu ya Tano chini ya Rais Dkt John Magufuli kwa uboreshaji wa sekta ya afya, Kwa wilaya yetu upatikanaji wa dawa ni zaidi ya asilimia 95 niwatoe hofu mkishagundulika kuugua ugunjwa huu tiba ipo, Kikubwa niwaombe mkawe mabalozi wazuri kwa wengine mhamasisheni waje kupima wapate tiba ..’ Alisema

Aidha Mheshimiwa Mabula amevitaka vyombo vya habari kuhakikisha vinahamasisha jamii kujitokeza kupata huduma hiyo sambamba na kuwatoa hofu wananchi  kutokata tamaa pindi watakapogundulika kuugua ugonjwa wa Saratani kwani Serikali imejidhatiti kupambana nao kwa kuhakikisha wataalamu na madawa vinapatikana kwa urahisi.

Kwa upande wake mganga mkuu wa wilaya ya Ilemela Daktari Florian Tinuga amesema kuwa zoezi la upimaji wa Saratani ya mlango wa kizazi kwa awamu ya pili litaendeshwa kwa kushirikiana na Wataalamu kutoka Kitengo cha Saratani cha Hospitali ya Rufaa ya Bugando na Hospitali ya Ocean Road ili kuongeza ufanisi  na kupunguza usumbufu kwa wagonjwa watakaobainika kuhitaji  kuendelea na matibabu zaidi tofauti na ilivyofanyika kwa mara ya kwanza.

Katika nchi ya Tanzania inakadiriwa kuwa kuna wagonjwa wapya wapatao 50,000 wa Saratani ya mlango wa kizazi kila mwaka huku takwimu za wilaya zikiainisha kati ya mwaka 2018 wanawake 2047 waliochunguzwa , 384 sawa na asilimia 8.5% waligunduliwa kuwa na dalili za awali za Saratani ya mlango wa kizazi, huku chanjo ya ugonjwa huo kwa wasichana ikitolewa bure kwa wenye umri kati ya miaka 9 mpaka 14.

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.