• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

ILEMELA YAVUKA LENGO UTEKELEZAJI WA SALIM

Posted on: June 12th, 2024

Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Adv.Mariam Msengi ambae pia ni katibu tawala wa Wilaya hiyo amepongeza idara ya afya kupitia kitengo chake cha lishe kwa kuendelea kufanya vizuri utekelezaji wa maadhimisho ya siku ya afya ya lishe katika mtaa (SALIM) yanayofanyika mara moja kila baada ya miezi mitatu ambapo huduma za afya, lishe, usafi wa mwili na mazingira,ulinzi wa mtoto na malezi shirikishi hutolewa.


Akitoa taarifa ya utekelezaji wa shughuli mbalimbali za kitengo cha lishe  wakati wa kikao cha tathmini ya Wilaya kujadili taarifa ya lishe kuanzia Januari hadi Machi 2023/2024 Afisa lishe wa Wilaya hiyo Bi.Pilli Khassim amesema jumla ya mitaa 171 inayounda Halmashauri ya manispaa ya Ilemela iliweza kufikiwa na kutekeza SALIM sawa na 100% ya utekelezaji kwa mitaa yote.


“ Tulipanga kuwafikia wazazi 7,000 wenye watoto wa umri wa 0 hadi miezi 59 mpaka mwisho wa zoezi jumla ya wazazi 9,476 walifikiwa sawa na 135% ya lengo na 158% kwa watoto wa miezi 6 hadi 59 waliopatiwa matone ya vitamin A,wao tulipanga kutoa matone kwa watoto 5,000 na idadi ya waliofikiwa ilikuwa 7,918.” Amesema Afisa lishe (W).


Sambamba na pongezi kwa kazi nzuri Adv.Msengi amewataka wazazi kuhamasika katika suala la uchangiaji wa chakula shuleni huku akifafanua umuhimu wa watoto kupata chakula wakiwa shuleni.


“ Natamani na sisi Ilemela kiwango chetu cha elimu kiwe cha juu sana,ni muhimu wazazi na walezi kufahamu umuhimu wa watoto wetu kupata chakula wakiwa shuleni,tutapunguza utoro,tutaongeza usikivu na afya za watoto zitaboreka na kumpa mtoto fursa ya kufanya vizuri zaidi kitaaluma.”


Nae Mkuu wa polisi Wilaya ya Ilemela SSP.Egnatus B.Kapira amesema ni lazima vyanzo vya kukwamisha shughuli za lishe ndani ya Manispaa vifahamike ili nguvu iongezwe kwenye maeneo husika.


“Chakula kutolewa shuleni ni muhimu,hakuna sababu ya msingi ya kukwama kwa jambo hili kama ni elimu tuongeze kasi ya utaoaji elimu maeneo yote hasa yale yanayoonekana yapo nyuma zaidi.”


Akihitimisha kikao hicho Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela Bi.Neema Semwaiko amesema ipo miongozo inayoendelea kutekelezwa kwa sasa, kuhusu masuala ya utoaji chakula shuleni sambamba na juhudi kubwa zinazoendelea kutekelezwa na uongozi wa Manispaa katika kuhakikisha shule zote ndani ya Manispaa zinatoa chakula


Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • "TUUFANYE USAFI KUWA NI TABIA YA KUDUMUA": ANNA MBAO

    May 31, 2025
  • WATAALAM WA MANISPAA YA ILEMELA WAJENGEWA UWEZO MATUMIZI YA MFUMO WA MANUNUZI WA UMMA

    May 29, 2025
  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.