• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

ILEMELA YAPONGEZWA KUKAMILISHA MPANGO WA KUKABILIANA NA MAAFA

Posted on: March 29th, 2023

Manispaa ya Ilemela imepongezwa  kwa kukamilisha maandalizi ya mpango wa kujiandaa na kukabiliana na maafa uliozingatia kikamilifu mfumo wa usimamizi wa maafa nchini uliowekwa na sera ya taifa ya menejimenti ya maafa ya mwaka 2004 na sheria ya usimamizi wa maafa namba 6 ya mwaka 2022


Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti ya Maafa kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Meja Jenerali Charles Mbuge wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya usimamizi wa maafa kwa wataalam wa timu za utayari za kukabiliana na maafa kwa Wilaya ya Ilemela ambayo yatachukua takriban siku tatu ambapo serikali inashirikiana na taasisi ya IOM UN-MIGRATION.

Sambamba na pongezi hizo ameendelea kusema kuwa yapo majanga mbalimbali kama ya moto, mafuriko, ajali za vyombo vya usafiri na magonjwa ya mlipuko yamekuwa yakitokea,  hivyo mpango huo utasaidia uwajibikaji wa kila sekta na idara pamoja na ushirikiano wa wadau katika kukabiliana na maafa


“Nawapongeza Ilemela kukamilisha mpango wa kukabiliana na maafa, Hii itasaidia ikitokea changamoto ya moto jamii ya eneo husika itajua namna ya kutumia vifaa vya moto”, Amesema


Aidha Meja Mbuge amewataka wadau kuunga mkono juhudi za Serikali katika kukabiliana na majanga pamoja na kuimarisha mfumo wa mawasiliano muda wote kwa kupitia utaratibu uliopo


Akimkaribisha mgeni rasmi, Mkurugenzi wa manispaa ya Ilemela Mhandisi Modest Apolinary mbali na kuishukuru Serikali kwa kuwajengea uwezo wataalam wake amemuhakikisha mkurugenzi huyo wa majanga juu ya utekelezaji wa ushauri uliotolewa katika kukabiliana na maafa au majanga

Nae Ndugu Charles Msangi kutoka idara ya menejimenti ya maafa ofisi ya waziri mkuu amefafanua kuwa matukio yanapotokea timu za maafa ndio zinatakiwa kuwa za kwanza kuwajibika ili kuweka utayari na kupunguza madhara kwa kuwa maafa hayana mfumo mpya  


Afisa Uhasibu wa manispaa ya Ilemela ambae ni mjumbe wa kamati ya maafa na majanga Bi Nongwa Idilia Gilbert ameshukuru kwa mafunzo yaliyotolewa na kwamba yatasaidia jamii katika kukabiliana na maafa au majanga yatakayojitokeza


Mkakati wa Taifa wa Mawasiliano ya Dharura 2022 umelenga kuhakikisha utendaji kazi, ushirikiano, na mwendelezo wa mawasiliano vinaimarika wakati wa maafa ili kuruhusu watoa huduma za dharura kufanya mawasiliano baina yao na ngazi nyingine za serikali wakati wote, hata pindi miundombinu ya mawasiliano itakapoharibiwa.


Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.