• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

ILEMELA YAPOKEA MITI 2500 KUTOKA TAASISI YA VIA AVIATION

Posted on: February 8th, 2024

Katibu tawala wa Wilaya ya Ilemela Adv.Mariam Msengi kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe.Hassan Masala amepokea jumla miche ya miti  2500 kutoka kwa mdau wa maendeleo taasisi isiyo ya kiserikali inayotoa huduma mbalimbali za ndege VIA AVIATION Mwanza.

Akizungumza wakati wa hafla fupi ya mapokezi hayo katika shule ya sekondari Kisenga Adv.Msengi amesema Wilaya ya Ilemela inao mpango wa kupanda miti 120,000 kwa mwaka huu 2024 ambapo hadi sasa jumla ya miti 26,000 sawa na 22% imekwisha pandwa maeneo mbalimbali ndani ya Wilaya hiyo.


"Tunashukuru sana kwa miche hii ya miti kwani inaonyesha tupo pamoja na serikali ya awamu ya sita kwa kuunga mkono juhudi za Mhe.Rais za mapambano dhidi ya  mabadiliko ya tabia nchi na utunzaji wa mazingira kwa ujumla wake.Lengo letu ni kutengeneza Ilemela ya kijani."

Adv.Msengi amewataka wakuu wa shule na walimu wakuu wote maeneo yote miti inakoenda kuigawa kwa wanafunzi ambao watawasimamia kila mmoja kuhakikisha mti wake unakuwa vizuri.

Aidha Meneja miradi wa taasisi hiyo Bi.Shose Lyimo ametoa taarifa ya utendaji kazi wao huku akianisha huduma za ndege wanazotoa ikiwemo "flight clearances na private lounge".

Bi. Lyimo amesema ni utaratibu wao kuhamasisha jamii juu ya utunzaji wa mazingira na wanatambua juhudi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Samia Suluhu katika sekta ya utunzaji wa mazingira.

" Sisi tunatoa huduma za ndege lakini ni jukumu letu pia kushirikiana na jamii katika shughuli mbalimbali za kimaendeleo."amesema Shose.

Nae Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela ndugu Recipisius Maghembe amewapongeza taasisi hiyo kwa kazi nzuri wanazofanya za kusaidia jamii huku akiwasihi wakuu wa taasisi miti hiyo inakogawiwa kuitunza vyema kwa manufaa ya jamii nzima.

"Tuachane na sababu nyingi nyingi za miti kutokukuwa,miti hii ikasimamiwe vizuri na kulindwa na uwezekano wa yote kukuwa upo." Msafiri Magesa Uthibiti ubora wa shule Manispaa ya Ilemela.

Hashim Cosmas ni mwanafunzi katika shule ya sekondari Kisenga yeye anatoa shukrani kwa wadau wa VIA AVIATION kwa kuwakumbuka katika uboreshaji wa mazingira ya shule kwa kupewa miti hiyo.

"Miti hii ikikua italeta vivuli hapa shuleni na mingine itatupatia matunda na kuleta mandhari ya kuvutia."

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.