• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

ILEMELA YAKIDHI VIGEZO VYA KUTEKELEZA MIRADI MINNE

Posted on: January 19th, 2023

Halmashauri ya manispaa ya Ilemela imekidhi vigezo vya kutekeleza miradi minne kati ya tisa iliyowasilisha kupitia mradi wa Green and Smart Cities Sasa chini ya ufadhili wa umoja wa ulaya.


Hayo yamebainishwa mara baada ya kupokea matokeo ya uchambuzi wa miradi mikubwa ya maendeleo iliyoambatana na wa majadiliano ya tathmini ya awali ya mnyororo wa thamani wa chakula ( food value chain) na mfumo wa kibiashara ( trade systems) yenye lengo la kuboresha mnyororo wa thamani wa chakula na mfumo wa mazingira ya kibiashara katika manispaa ya Ilemela.


Taarifa ya tathmini hiyo iliwasilishwa na kampuni ya triple line ya  nchini Uingereza ambayo ilipewa kandarasi hiyo na shirika la maendeleo la Ufaransa (AFD) ambalo litafadhili miradi hiyo kupitia program ya Green and Smart Cities sasa inayo itakayo tekelezwa katika manispaa ya ilemela chini ya ufadhili wa umoja wa ulaya.


Kutokana na vigezo vilivyo ainishwa na AFD kwamba ili mradi uweze kupita inapaswa  uwe na mchango wa kiuchumi (uzalishe mapato) na pia uweze kutoa fursa kubwa ya ajira; Hivyo kutokana na tathmini hiyo, miradi minne ambayo imekidhi vigezo ni pamoja na mradi wa Uboreshaji wa mwalo wa old igombe, Uboreshaji wa mwalo wa new igombe, Uboreshaji wa soko la samaki la mwaloni pamoja na Ujenzi wa  soko la kisasa la buswelu.

Naye mwakilishi wa Ofisi ya Rais TAMISEMIi katika kikao hicho Ndugu Shaban Ghuhia ameshukuru kwa ushirikiano ulioonyeshwa na menejimenti ya manispaa ya ilemela katika utekelezaji wa kazi hiyo ambayo imechukua takribani miezi sita tangu june 2022 hadi desemba 2023. Huku akiahid kuendeleza ushirikiano wa dhati ili katika kusukuma mbele gurudumu la maendeleo ya wana ilemela na watanzania kwa ujumla.


Mradi wa Soko la Buswelu tumeutembelea tena na tumekubaliana kwamba utakuwa mkubwa na utahusisha ujenzi wa soko, ring roads kuzunguka soko na  ujenzi wa kituo cha daladala kilichopo pembezoni mwa soko/ mkabala na sheli ya ASHICO na kuweka taa za barabarani kuzunguka soko alisema ndugu Nicos Papachristodoulous ambae ni Mkuu wa maendeleo jumuishi  kutoka Kampuni ya Triple line


Wataalam kutoka kampuni ya Tripple line walihitimisha kwa kusema kuwa taarifa ya miradi hiyo itawasilishwa AFD na hatua ya kuja kwa mtaalamu wa kufanya  upembuzi yakinifu itafuata.



Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.