• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

ILEMELA YAKAMILISHA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA ELIMU

Posted on: July 12th, 2024

Kiasi cha shilingi Bilioni 1.39 kimetumika kukamilisha ujenzi wa miundombinu ya elimu sekondari katika Manispaa ya Ilemela ikiwemo vyumba 59 vya madarasa, matundu 72 ya vyoo na seti ya meza na viti 2750.


Akisoma taarifa ya makabidhiano ya miundombinu hiyo, kwa mkuu wa mkoa wa Mwanza, mkurugenzi wa manispaa ya Ilemela, Bi Ummy Wayayu amemshukuru Rais  Samia kwa fedha hizo na kusema kuwa halmashauri ilipokea fedha kiasi cha shilingi Bilioni 1.41 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya elimu na kutumia shilingi bilioni 1.39  hivyo kufanikiwa kuokoa shilingi milioni 26.64


Kufuatia taarifa hiyo, Mhe Said Mtanda ambae ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza ameupongeza uongozi wa Ilemela kwa namna ambavyo inaendelea kusimamia vizuri  utekelezaji wa miradi ya maendeleo huku akiweka wazi jinsi alivyovutiwa na namna ambavyo Ilemela imeweza kuokoa shilingi Milioni 26.


" Niwapongeze Ilemela kwa usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo, lakini nimevutiwa na taarifa kuwa fedha takribani Shilingi milioni 26 zimeweza kuokolewa"


Ni msimamo wa serikali, kuwa tunapofanya shughuli za usimamizi wa ujenzi wa miradi yoyote sio lazima fedha  iliyopangwa itumike na kuisha yote,tunaweza kuokoa fedhs na kuitumia kwa shughuli zingine ,amesema Mhe Mtanda.


Kwa upande wake Mkuu wa wilaya ya Ilemela  Mhe Mwl Hassan Masala amefafanua kuwa kipindi kama hiki katika miaka ya nyuma jamii ilikuwa ikikimbizana kuchangishana fedha kwa ajili ya ujenzi wa madarasa kinyume na sasa ambapo Serikali ya Rais Samia imeweza kutoa fedha na kujenga madarasa na miundombinu mingine mingi ya elimu hivyo kuwataka wananchi kuendelea kushirikiana katika shughuli za maendeleo.


Nae Mbunge wa Jimbo la Ilemela Mhe Dkt Angeline Mabula amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha nyingi za maendeleo ndani ya jimbo hilo ,akaendelea kusema kuwa Ilemela ya miaka 10 iliyopita sio sawa na Ilemela ya sasa kwani maendeleo yanaonekana


Katika nyakati tofauti wanafunzi wa shule ya sekondari ya Lumala ambapo makabidhiano ya ujenzi wa vyumba vya madarasa yamefanyika, wamemshukuru Rais Samia kwa ambavyo anaendelea kuwajali kwa kuwajengea miundombinu ya elimu kwani inawanufaisha na kuwaboreshea mazingira ya kujifunzia hivyo wakamuahidi kusoma kwa bidii ili wafikie malengo yao.

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.