• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

ILEMELA YAJIPANGA KUTEKELEZA VYEMA ZOEZI LA UGAWAJI WA VITAMBULISHO KWA WAJASIRIAMALI

Posted on: December 24th, 2018

ILEMELA YAJIPANGA   KUTEKELEZA VYEMA ZOEZI LA UGAWAJI WA VITAMBULISHO KWA WAJASIRIAMALI

Katika kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli, linalohusu ugawaji wa vitambulisho kwa wafanyabiashara wadogo wadogo,   Baraza la Madiwani la Manispaa ya Ilemela chini ya Mstahiki Meya, Mhe. Renatus Mulunga limeridhia mapendekezo ya utaratibu wa utoaji wa vitambulisho kwa wafanyabiashara hao.

Mapendekezo hayo yamewasilishwa na  mratibu wa sekta isiyo rasmi Ilemela, Ndugu Raphael Mphuru,ambapo aliyataja  kuwa ni pamoja na, kutenga kanda zitakazohusika katika zoezi, uundaji wa kamati maalum ya kusimamia zoezi la ugawaji wa vitambulisho, uundaji wa  kamati za kuratibu vitambulisho vya wamachinga za kanda pamoja na kutengeneza kanzi data.

John Wanga, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela amesema kuwa lengo ni kuhakikisha zoezi linafanikiwa kwa mafanikio makubwa ili halmashauri iweze kuwa ya mfano nchini kwa kutekeleza vyema zoezi la ugawaji wa vitabulisho vya wajasiriamali wadogo.

“Ili kufanikisha zoezi hili, tumezishirikisha taasisi za I4ID na Kivulini kwa vile ni taasisi ambazo tumekuwa tukifanya nazo kazi kwa karibu  na hapo awali kabla ya tamko la Mhe.Rais walikuwa wameanza utafiti kwa ajili ya kuboresha mazingira ya wajasiriamali wadogowadogo” , alisema

Pamoja na hayo alisema kuwa vitambulisho hivi vitalipiwa kiasi cha Shilingi za kitanzania elfu ishirini (Tshs.20,000) fedha ambazo baada ya kukusanywa itawekwa kwenye akaunti ya kamishna wa kodi za ndani kwenye benki zilizoidhinsihwa kukusanya mapato.


Mbunge wa Ilemela, Mhe. Angeline Mabula alishauri kuwa zoezi hili lisiingiliwe na wanasiasa ili kuleta ufanisi bali wawe sehemu ya kutoa ushauri pale ambapo zoezi litakuwa haliendi sawa, aidha alisistiza kuwa makini katika kuyatambua makundi mbalimbali kuwepo na uwiano sawa ili kuweza kuwagusa wote kwa pamoja bila kulisahau kundi la walemavu.


Halikadhalika alisisitiza kuwa watakaopewa vitambulisho hivi, ni wale ambao wapo katika maeneo rasmi yaliyotengwa na serikali na si vinginevyo.


Manispaa ya Ilemela itazindua rasmi zoezi  la ugawaji wa vitambulisho kwa wajasiriamali siku ya tarehe 27/12/2018 katika soko la Kiloleli kata ya Nyasaka.


Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.