• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

ILEMELA YAISHUKURU RUDEA SACCOS LTD KWA MSAADA

Posted on: August 29th, 2023

“Asiyeshukuru kwa kidogo hata kikubwa hatashukuru, suala hili sio dogo ni kubwa nimefurahishwa sana na msaada huu.”


Ni kauli iliyotolewa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilemela, Mhe. Renatus Mulunga wakati akipokea msaada wa thamani ya Shilingi Milioni 1.03 kutoka RUDEA ambacho ni Chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha Kijamii

Aidha Mhe Mulunga amemtaka Mganga Mfawidhi wa Zahanati hiyo ya Nyamadoke kuhakikisha wanatumia vifaa na fedha zilizotolewa  kwa uadilifu mkubwa ili kukidhi malengo yaliyokusudiwa ili kuweza kuwahudumia  wananchi wanaofika kupata huduma katika zahanati hiyo


Chama hicho cha RUDEA SACCOS LTD chenye namba za usajili (REG.NO.PR-MZA-ILE-MC-2022-2393) kimetoa msaada wa thamani ya Shilingi Milioni 1.03 fedha za kitanzania kwa zahanati ya Nyamadoke katika kata ya Nyamhongolo Manispaa ya Ilemela  kwa ajili ya marekebisho  katika maabara katika zahanati hiyo ambapo wametoa vifaa vya ujenzi vya thamani ya Tshs. 738,500 sambamba na pesa taslim kwa ajili ya ujenzi Tshs.300,000.


Akisoma taarifa kabla ya kukabidhi msaada huo, Bi Magdalena Lwinga ambae ni Mwenyekiti wa RUDEA SACCOS amesema kuwa walitenga fedha hiyo kwa ajili ya kuhudumia jamii hii ni kwa mujibu wa Kifungu cha 80(1) cha sheria ya vyama vya Ushirika no 6 ya mwaka 2013 ikisomwa sambamba na kanuni ya 55 (c) ya kanuni ya vyama vya ushirika vya akiba na mikopo ya mwaka 2015.



Nae Kaimu Mrajisi wa vyama vya ushirika Mkoa wa Mwanza Ndugu Leo Zephania amewashukuru na kuwapongeza RUDEA SACCOS kwa maamuzi waliyofikia na kutimiza wajibu wao kwa mujibu wa msingi wa saba wa ushirika unaosema kuijali jamii


“Ushirika ni sehemu ya jamii kwa sababu tunafanya kazi na jamii hivyo tuna kila sababu ya kuhakikisha kwamba kile kidogo tunachokipata tunakirudisha kwenye jamii ambayo na sisi tunatoka na ndio tunaofanya nao kazi kwani hicho kidogo kimepatikana kutokana na jamii husika”,Amesema Ndugu Leo


Diwani wa Kata ya Nyamhongolo Mhe Nginila nae amewashukuru wana RUDEA SACCOS kwa msaada huo na kuwaomba kuendelea kuifikiria zahanati hiyo ya Nyamadoke kwani bado inayo mahitaji mengi.



Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.