• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

ILEMELA YAENDELEA KUPATA HATI SAFI KWA KIPINDI CHA MIAKA MITATU - RC MAKALLA APONGEZA

Posted on: June 26th, 2023

Mhe.CPA Amos Makalla Mkuu wa Mkoa wa Mwanza ameipongeza Manispaa ya  Ilemela kwa kupata hati safi katika kipindi cha mwaka wa fedha 2021/2022, ikiwa ni mara tatu mfululizo kuanzia mwaka wa fedha 2019/2020, 2020/2021 na 2021/2022.amezitoa pongezi hizo katika Mkutano maalum wa baraza la madiwani kwa ajili ya kujadili utekelezaji wa hoja za mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali


Pamoja na pongezi hizo amesema kuwa wananchi wanafuatilia sana utendaji wa Halmashauri pamoja na taarifa mbalimbali, hivyo kuwa na hati safi kunawajengea imani kubwa wananchi.


Aidha Mhe. Makalla ameishauri Menejimenti ya Ilemela kuhakikisha inashirikiana na ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG)  ili kuendelea kuzipunguza hoja ambazo sio za lazima.


“Ushauri wangu ili kuendelea kupunguza hoja ambazo sio za lazima menejimenti ishirikane na CAG katika hatua zote za ukaguzi naamini kwa hili hoja zitapungua”Amesema CPA Makalla


Sambamba na hilo amewataka Madiwani kusimamia kidete maslahi mapana ya wananchi kwa kufanyia kazi taarifa ya mkaguzi wa ndani kila anapoiwasilisha hii itasaidia kupunguza hoja.


Diwani kutoka kata ya Pasiansi Mhe. Rose Mayunga akichangia ameshauri wataalam kuhakikisha wanatunza vielelezo vyote ili kuepusha hoja na mwisho wa siku Ilemela iwe na hoja ambazo zinafungwa, alishauri.


Mhe. Manusura Lusigaliye Naibu Meya wa Manispaa ya Ilemela akihitimisha kikao hicho pamoja na kumshukuru Mkuu wa Mkoa kwa namna ameendesha kikao lakini pia amemuahidi kuwa Baraza la Madiwani kwa kushirikiana na watalaam watafanyia kazi maelekezo yote ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kuwa hoja zilizobakia zinafungwa.



Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.