• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

ILEMELA YAENDELEA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA SHULE ZA MSINGI

Posted on: May 31st, 2018

Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela kwa kushirikiana na wananchi wake imeendelea kushirikiana katika zoezi zima la kuboresha miundombinu ya shule za msingi.


Uboreshaji wa miundombinu ya shule hizi unafuatiwa na upungufu wa madarasa ,upungufu wa  matundu ya vyoo, adha ya watoto kutembea umbali mrefu kufika shuleni ambayo yamesababiswha na ongezeko la wanafunzi.


Shule ya Msingi Bugogwa ni moja ya shule ambazo zimekuwa zikikumbwa na changamoto hizo hali iliyopelekea kuanzishwa kwa ujenzi wa shule ya msingi Bugogwa B.


Ujenzi wa shule ya Msingi Bugogwa B katika eneo la Kayenze ndogo ulianza Agosti  2016 kwa nguvu ya wananchi kwa kushirikiana na Mh. Diwani wa kata hiyo pamoja na Mbunge wa jimbo la  Ilemela. Aidha, shule hii ilipokea jumla ya shilingi 66,600,000/= (pesa za lipa kulingana na ufanisi-EP4R).  

Nayo Manispaa ya Ilemela chini ya usimamizi wa Mkurugenzi John Wanga imeshiriki kikamilifu katika utekelezaji wa mradi huu kwa kutoa wataalamu wa uhandisi majengo na idara ya elimu kwa muda wote wa utekelezaji mradi hali ambayo imepelekea mradi kuendelea bila kusimama.


Mradi huu hadi kukamilika unatarajiwa kugharimu takribani kiasi cha shilingi za kitanzania milioni 130,000,000 ambapo hadi sasa umegharimu  kiasi cha shilingi za kitanzania milioni 68,943,000/ = ambapo Tsh. 3,980,000/= ni thamani ya nguvu za wananchi, Tsh. 58,953,000/= ni  fedha toka serikali Kuu, Tsh. 5,640,000/= ni mchango toka ofisi ya Mh. Mbunge (tofali 5000 na mifuko 40 ya saruji) na vifaa vyenye thamani ya Tsh. 370,000/= ambavyo vimetolewa na diwani wa kata hiyo Mhe William Mashamba.

Uboreshaji wa miundombinu ya shule za msingi katika Manispaa ya Ilemela unaendelea katika shule mbalimbali zikiwemo Isenga, Juhudi, Buhila, Kilabela, Isanzu Lukobe, Pasiansi na Ilemela.


Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.