• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Ilemela yadhamiria kuendelea kuinua ubora wa elimu

Posted on: September 27th, 2021

Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela itaendelea kuinua ubora wa Elimu kwa kushirikiana na wadau wote wa Elimu ili kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia.


Hayo yamesemwa na Afisa Elimu ya watu wazima wa manispaa ya Ilemela, Recipitius Magembe wakati wa maadhimisho ya wiki ya Elimu ya watu wazima.

Magembe alisema ni jukumu la kila mwenye dhamana ya elimu kuviendeleza vikundi kiujuzi na maarifa chini ya mpango wa uwio kati ya Elimu na Jamii(Memkwa) wafanye shughuli walizoziamua kama vile ushonaji,Ujasiliamali na ufugaji.


Mgeni rasmi katika maadhimisho hayo mkuu wa Wilaya ya Ilemela Mhe. Hassan Masala amesema Elimu ya watu wazima pia inatoa nafasi kwa watu kujiendeleza kutoka hatua ya chini kabisa kielimu hadi elimu ya juu kupitia program zake mbali mbali nje ya mfumo rasmi mfano Mpango wa Elimu kwa waliokosa(Memkwa),Elimu masafa na Elimu malumu kwa wanafunzi na watu wazima wenye mahitaji malumu ya ufundi stadi.


“WanaIlemela sisi ni manispaa ,napenda wote twende pamoja hatuna sababu ya kuwaacha wenzetu nyuma kwa kutokujua kusoma na kuandika”amesema

 Manispaa ya Ilemela inayo walimu wawezeshi 20 katika vituo vya elimu ya watu wazima.


Jumla ya wanafunzi 79 wamehitimu elimu ya msingi kwa watu wazima katika mwaka 2021 ambapo kundi hilo linatarajiwa kuingia kidato cha kwanza 2022.


“Wanafunzi 106 wamesajiliwa kufanya mtihani wa taifa wa kidato cha nne na tunaamini watafanya vizuri”amesema Maghembe.


Akihitimisha maadhimisho hayo Mkuu wa Wiaya ya Ilemela,Hasan Masala alisisitiza kuwa ni jukumu la kila mmoja katika kuhakikisha  elimu ya watu wazima inakuwa ya manufaa kwa jamii nzima kwani kutasaidia Serikali ya awamu ya Sita katika kufikia azma ya Tanzania ya viwanda ikiwa na watu wenye uelewa wa pamoja.

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.