• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

ILEMELA YAANZA UTEKELEZAJI MATUMIZI MFUMO WA UKUSANYAJI KODI YA MAJENGO

Posted on: June 4th, 2024

Mthamini Mkuu OR-TAMISEMI Richard Kihenga Chacha ameongoza timu ya wataalam kutoka Ofisi ya Rais-TAMISEMI kutoa mafunzo ya uwezeshwaji kwa wataalam wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela kuhusu mfumo wa ukusanyaji wa kodi za majengo ndani ya Manispaa hiyo.

"Serikali imetoa muongozo wa ukusanyaji wa kodi ya majengo,kodi ya pango la ardhi na ushuru wa mabango kwa mamlaka za serikali za mitaa tupo hapa kuhakikisha hatumuachi mtu na kupitia kuelewa kwenu itakuwa rahisi wananchi kuelewa utekelezaji wa zoezi zima ambalo litazingatia sheria za nchi,kanuni,miongozo na nyaraka mbalimbali za kiserikali kuhusu ukusanyaji wa mapato."Amesema Chacha

Akiwasilisha mada ya ukusanyaji kodi ya majengo kwa watendaji wa kata na mitaa Mthamini wa Manispaa hiyo ndugu Julius Masunga amewataka watendaji kuunga mkono juhudi za serikali katika kufanikisha zoezi hilo.

" Tunatambua nafasi ya watendaji wa kata na mitaa katika maeneo mliyopo kwa ukaribu uliopo na wananchi hivyo ni jukumu letu kuendelea kuelimisha jamii kuhusu kodi hii ya majengo ambayo Halmashauri inawajibika katika zoezi la ukusanyaji wake." Amesema Masunga

Akitoa maelekezo ya namna mfumo utakavyofanya kazi kupitia simu janja za mkononi Afisa TEHAMA wa Manispaa hiyo Albert Kamuhabwa amesema ni muhimu majengo yote kutambuliwa  kurahisisha zoezi la ukusanyaji wa mapato ya kodi ya majengo.

Albert Arevoy ni Mtendaji wa kata mtaa wa Chabakima kata ya Shibula yeye anapongeza serikali kwa kuanzia mifumo mbalimbali ya ukusanyaji wa mapato kwani ni njia salama katika kudhibiti mianya ya upotevu wa mapato.

Manispaa ya Ilemela inaendelea na matumizi ya mifumo mbalimbali ya kiserikali katika utendaji kazi wake ikiwemo E - board mfumo wa uendeshaji vikao,E - office mfumo wa ufuatiliaji mafaili,Got homis mfumo unaotumika kwenye vituo vya kutolea huduma za afya n.k.ikiwa ni katika kuongeza uwazi,uwajibikaji na ufanisi .

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.