• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

ILEMELA YAANZA MAANDALIZI YA UTOAJI WA CHANJO

Posted on: September 24th, 2019

Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela imeanza maandalizi ya zoezi la kampeni ya utoaji wa chanjo ya ugonjwa wa Surua, Polio na Rubella kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano.


Zoezi hilo la utoaji wa chanjo litafanyika mwezi Oktoba kwa muda wa siku tano kuanzia tarehe 15-19/10/2019 ambapo litaendeshwa kwa watoto wote wenye umri chini ya miaka 5 hata kama walishapata chanjo hiyo kwa utaratibu wa kawaida.


Akifungua kikao cha maandalizi cha kamati ya afya cha Wilaya, Mkuu wa Wilaya ya Ilemela ambae ndie Mwenyekiti wa kamati hii, Mhe Dkt Severine Lalika amewataka wajumbe wa kamati hiyo ya afya kuhakikisha wanatimiza jukumu lao la msingi la kuunga mkono Sera za Serikali juu ya masuala ya afya ili kuhakikisha wananchi wa wilaya hii wanakuwa salama na kuendelea na utekelezaji wa shughuli zao kila siku za maendeleo


“Tunayo dhamana kuhakikisha tunalisimamia zoezi la afya kiujumla kwani huwezi ukawa na maendeleo ukiwa na watu wenye udhoofu wa afya. Huku tukiamini kuwa mtoto anatakiwa akue akiwa na afya nzuri ili baadae aje awe kiongozi bora kwa taifa letu”, alisisitiza


Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela John Wanga amewataka watoa huduma za afya kuhakikisha zoezi hilo linatekelezwa kwa umakini na uaminifu mkubwa huku akisisitiza kufanyika kwa maandalizi ya uhakika.

Nae mratibu wa chanjo wilaya ya Ilemela Bi Veronica Masawe amesema kuwa ni asilimia 85 tu ya watoto wanaozaliwa ndio hupata chanjo, hivyo zoezi hili litakwenda kuziba pengo la 15% inayobaki ya watoto wanaokosa chanjo huku akisisitiza kuwa Chanjo hizi ni salama na zimethibitishwa na shirika la Afya ulimwenguni na Wizara ya afya


Manispaa ya Ilemela inatarajiwa kuzindua kampeni hiyo katika kituo cha afya Buzuruga kilichopo kata ya Buzuruga.


Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.