• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

ILEMELA YAADHIMISHA SIKU YA AFYA NA LISHE YA MTAA

Posted on: September 9th, 2024

Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela kwa kushirikiana na shirika la USAID kupitia mradi wake wa afya yangu mama na mtoto wameungana katika mitaa 10 kwa ajili ya utekelezaji wa maadhimisho ya siku ya afya na lishe ya mtaa yanayoadhimishwa na Halmashauri hiyo kila robo ya mwaka.

Akizungumza wakati wa utoaji wa elimu ya lishe bora kwenye viwanja vya shule ya msingi Chasubi iliyopo kata ya Kayenze Afisa lishe wa Manispaa ya Ilemela Bi.Pili Khasimu amesema  maadhimisho ya siku ya afya na lishe ya mtaa (SALIM) hujumuisha huduma mbalimbali za afya ikiwemo huduma za chanjo,wajawazito,matibabu ya watu wazima na watoto,elimu ya uzazi wa mpango ,ushauri wa lishe sambamba na jiko darasa.

"...natamani wote hapa muelewe umuhimu wa lishe bora kwa familia zetu."

Nae mwenyekiti wa mtaa wa Lutongo Daud Malaji amesema taifa letu linahitaji watu wenye afya njema kufanya maamuzi yaliyo sahihi katika nyanja mbalimbali jambo linalotokana na ulaji wa lishe bora kwa kipindi chote cha makuzi huku akiwasihi wananchi kuchukulia suala la lishe kwa umuhimu mkubwa.

Aidha elimu ya unyonyeshaji maziwa ya mama kwa kipindi cha miezi sita ya kwanza imetolewa na msisitizo kwa kina mama wote wenye watoto wachanga kunyonyesha ipasavyo.

Helena Shija ni mkazi wa mtaa wa Lutongo yeye anashukuru kwa darasa la mapishi kwa ajili ya maandalizi ya chakula cha watoto chenye viinilishe vyote muhimu.

" Hii lishe ni nzuri mimi huwa nawapa wanangu vyakula hivi kwa mchanganyo wa makundi yote ya vyakula na wana afya nzuri sana."

Maadhimisho hayo ya SALIM yanaendelea kwa mitaa yote 171 inayounda Halmashauri hiyo.

Announcements

  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA VYUMBA VYA BIASHARA October 16, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -JIMBO LA ILEMELA October 14, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 July 08, 2025
  • TANGAZO LA KAZI NAFASI YA UDEREVA DARAJA LA II June 04, 2025
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • TIMU YA MENEJIMENTI ILEMELA YAKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    October 16, 2025
  • DKT BITEKO AZINDUA MRADI WA PANDEMIC FUND, AELEKEZA USIMAMIZI MZURI

    October 15, 2025
  • ELIMU YA MABADILIKO YA TABIA NCHI YATOLEWA KWA MAAFISA UGANI KILIMO MANISPAA YA ILEMELA

    September 29, 2025
  • KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025,WANANCHI WA IGOMBE WAFIKIWA NA ELIMU YA MPIGA KURA

    September 29, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.