• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

ILEMELA KUZITANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP)

Posted on: November 14th, 2024

Halmashauri ya manispaa ya Ilemela imekusudia kuzitangaza fursa mbalimbali za uwekezaji kupitia mfumo wa ubia (PPP) lengo ikiwa ni kuongeza ubora na ufanisi wa utoaji huduma pamoja na kupanua wigo wa vyanzo mbadala vya bajeti ya serikali.

 

Hayo yamebainishwa na mkurugenzi wa manispaa ya Ilemela Bi Ummy Wayayu alipokuwa akiwasilisha mapendekezo hayo mbele ya baraza la madiwani la robo ya kwanza 2024/2025 lililofanyika siku ya 06 novemba 2024.

 

“Mpango huu wa uwekezaji utatekelezwa kwa kuzingatia sera ya ubia baina ya sekta ya umma na sekta binafsi yaani (PPP)”, alisema Ummy

 

Aidha aliendelea kufafanua kuwa kupitia sheria ya PPP sura ya 103 na kanuni za PPP za mwaka 202 imeweka utaratibu wa kuongeza ubora na ufanisi wa huduma pamoja na kupanua wigo wa vyanzo mbadala vya bajeti ya serikali ili kugharamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa kushirikisha sekta binafsi.

 

Baraza la madiwani wakichangia mapendekezo hayo, walimpongeza mkurugenzi pamoja na timu ya wataalam kwa kuja na mawazo hayo kwa maendeleo ya Ilemela huku wakishauri timu ya wataalam kuhakikisha wanayatambua maeneo yote ya wazi ya Ilemela yatambuliwe ili kuweza kunufaika nayo  

 

Maeneo ambayo yanakusudiwa kutangazwa kama fursa za uwekezaji ni pamoja na eneo la uwekezaji Kirumba, eneo la soko la Nyasaka, eneo jingine ni soko la zamani la Nyamanoro, stendi ya zamani ya mabasi ya Buzuruga, eneo la stendi ya daladala Buswelu, pamoja na maeneo yite ya Buffer zone.


Ndugu Herbet Bilia ambae ni mchumi wa manispaa ya Ilemela, alifafanua kuwa, maeneo hayo yaliyopendekezwa yanafaa kwa ajili ya uwekezaji wa kujenga nyumba za kupangisha, kwa ajili ya kujenga kumbi za kisasa,biashara mbalimbali kama vile michezo ya Watoto, ‘Car Wash’, bustani, sehemu za mapumziko na burudani mbalimbali sambamba na ujenzi wa hoteli na ujenzi wa kitega Uchumi. 

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.