• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

ILEMELA KUSHIRIKIANA NA KOREA KATIKA KUSIMAMIA NA KUDHIBITI MAJANGA MBALIMBALI

Posted on: December 3rd, 2018

Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela kwa kushirikiana na jiji la Daegu la nchini Korea Kusini zimetiliana saini hati ya makubaliano ya ushirikiano (MoU) wa mradi wa kusimamia na kudhibiti majanga mbalimbali kama vile ya moto, mafuriko na mengineyo, mradi unaotarajiwa  kugharimu zaidi ya Dola milioni tano za kimarekani.

Zoezi hilo la utiaji  saini wa makubaliano hayo lilishuhudiwa na Mkuu wa Wilaya ya Ilemela,Mstahiki Meya , Kaimu Mkurugenzi, wataalam mbalimbali wa Ilemela,  vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na viongozi mbalimbali lilitanguliwa na uwasilishaji wa taarifa ya upembuzi yakinifu ya kudhibiti majanga katika maeneo yaliyopo katika Wilaya ya Ilemela.

Akizungumza katika hafla hiyo, kaimu  Mkurugenzi  wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela Ndugu Daniel Batare, aliishukuru serikali ya Korea kwa ushirikiano wanaoutoa katika kuiletea maendeleo Manispaa ya Ilemela. Aliongeza kusema kuwa anaamini kuwa mradi huu utawasaidia watu wa Ilemlea kukabiliana na majanga lakini pia mfumo huu utarahisisha na kuharakisha mawasiliano.

Nae Dkt. Hag II Kim ambae ni kiongozi wa timu iliyofika Ilemela,  alisema kuwa mradi huu utasaidia kuokoa fedha ambazo zingepotea kutokana na kuhudumia waathirika wa majanga na badala yake zitapelekwa kwenye huduma zingine.Aliwashukuru pia ilemela kwa ushirikiano waliotoa katika kufanikisha maandalizi ya mradi huu.

Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Mhe.Dkt Severine Lalika akihitimisha zoezi hili la utiaji saini alishukuru na kusem kuwa, anathamini sana juhudi zinazoonyeshwa na wakorea kwa ajili ya Maendeleo ya wana Ilemela  huku akiwahakikishia kuendeleza ushirikiano huu ulioanza toka mwaka 2016.

Mradi huu ni matunda ya jitihada za Mhe Mbunge wa Ilemela Angeline Mabula ambae ndie muasisi wa ushirikiano na urafiki kati ya jiji la Daegu na Manispaa ya Ilemelakatika shughuli mbalimbali za kijamii lengo ikiwa ni kuboresha maisha ya wana Ilemela.






Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.