• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Ilemela kuendelea kutambua vipaji vya watoto wenye ulemavu

Posted on: December 10th, 2021

Na Paschalia George, Afisa Habari Ilemela

Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela imeendelea kutambua vipaji vya watoto wenye ulemavu kupitia ushiriki wao katika michezo maalum inayowahusu watoto hao.


Hayo yamebainishwa na Benatus Kahuru afisa elimu maalum ambae alimwakilisha Afisa Elimu Msingi wa Ilemela katika mashindano yanayoendelea ya kuwania kombe la michezo Maalum  


“Wapo watoto walemavu ambao wanafanya vitu vikubwa vya kustaajabisha ambavyo wakati mwingine hata wasio na ulemavu hawawezi kufanya,tutaendelea kuwa karibu na walimu wao ambao wanashinda nao kila siku na kuwatambua vizuri. Tunawapongeza walimu wa watoto hawa kwani wao ndio wamefanikisha kupatikana kwa wachezaji hawa ngazi ya shule, wilaya na mpaka sasa tunaelekea ngazi ya mkoa’’ alisema Kahuru


Mechi za mchujo za mashindano ya kombe la michezo maalum kwa watoto wenye ulemavu wilayani Ilemela zinaendelea kurindima ambapo wachezaji kutoka shule kumi za watoto wenye ulemavu na usonji ndani ya manispaa ya Ilemela wanatarajia kuunda timu moja itakayoshiriki mashindano hayo kimkoa.


Nae mwenyekiti wa shirikisho la walimu ambao ni makada wa CCM mkoa wa Mwanza akiambatana na baadhi ya wajumbe walikabidhi zawadi mbalimbali kwa washiriki ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono jitihada za manispaa ya Ilemela katika kuwapa nafasi watoto walemavu kucheza na kuwatia moyo na wao wajione ni kama watoto wengine.


“Tunatoa pongezi kwa uongozi wote wa Ilemela kwa kutangaza na kutambua vipaji vilivyomo katika shule zenu kumi zinazotoa elimu maalum kwa watoto wenye ulemavu mbalimbali,tuko pamoja kwa hiki tulichotoa hapa leo kikawafae watoto wetu kama burudani na kwa hatua za ukuaji wao’’Alisema Mwenyekiti.

Tumaini Richard ni mwanafunzi mwenye ulemavu wa kusikia kutoka shule ya msingi Ibeshi ametoa shukrani kwa wote walioandaa mashindano na kuwaletea vyakula na wao kupata nafasi ya kujumuika na wenzao kutoka shule za jirani na kuimarisha viungo vyao kupitia michezo mbalimbali iliyochezwa.


Michezo iliyochezwa ni pamoja na riadha iliyohusisha watoto wenye tatizo la ubongo ‘’cerebral parlsy” ,mpira wa miguu ,mpira wa kikapu na mpira wa wavu. Ambapo kwa mpira wa miguu mechi zilizoshiriki ni kanda ya Buswelu na Kanda ya Ibeshi ambao wametoka 4-0 huku mabao matatu ya kanda ya Buswelu yakifungwa na Dickson Mussa kutoka shule ya msingi Buswelu sambamba na kanda ya Kirumba na kanda ya Pasiansi ambao wametoka 1-1 hivyo washindi waliopatikana hapo katika kila mchezo wataunda timu moja itakayoshiriki mashindano hayo kimkoa

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.