• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

HUDUMA ZA MSINGI ZIELEKEZWE HOSPITALI YA WILAYA- RC MAKALLA

Posted on: October 20th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe CPA Amos Makalla amezitaka taasisi za umma kama vile MWAUWASA, LATRA, TANESCO kuhakikisha wanatoa kipaumbele katika utoaji wa huduma za msingi katika hospitali ya Wilaya ya Ilemela ili kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi


Mhe Makalla ametoa maelekezo hayo alipofika katika hospitali ya Wilaya kwa ajili ya kukagua ukamilishaji wa miundombinu ya hospitali hiyo.


Akitoa maelekezo hayo amewataka MWAUWASA kujiridhisha na uwepo wa huduma ya maji ya uhakika katika hospitali ya wilaya na kuhakikisha kuwa wanatoa kipaumbele katika hospitali hiyo  ili huduma ziweze kutolewa kwa uhakika na ubora


“MWAUWASA mjiridhishe juu ya utoaji wa huduma ya maji katika hospitali hii ya Wilaya na utoaji wa maji uwe wa  uhakika na hospitali hii ipewe kipaumbele, watumishi hawataweza kufanya kazi vizuri kama hakuna huduma ya maji ya uhakika”, alisisitiza Mhe Makalla


Sambamba na maelekezo hayo kwa MWAUWASA, ameitaka LATRA, Afisa usafirshaji Mkoa na Wilaya kuhakikisha magari yanafika hospitali ya Wilaya ili kuwarahisishia wananchi usafiri wa kufika hospitali  ili waweze kupata huduma na kumtaka Mkuu wa Wilaya kusimamia utekelezaji wa agizo hilo.


“Nimetoka kukagua ujenzi wa barabara na nimeona jiografia ya huku, naamini itarahisiha wananchi kuja huku, maelekezo yangu ni kwa LATRA, Afisa usafirishaji Mkoa na Wilaya kuweka utaratibu wa magari yanayotakiwa kufika huku ili kuwarahisishia wananchi kufika hospitali ya wilaya na kupata huduma”


Mhe Makalla alitumia nafasi hiyo kuwapongeza watumishi wa idara ya afya kwa kazi kubwa wanayofanya  ya kuhudumia wananchi huku akiwasihi kusimamia na kuitimiza dhamira ya Rais ya kutoa huduma bora kwa wananchi.


Akisoma taarifa Mganga Mkuu wa Manispaa ya Ilemela, Dr. Samson Marwa amesema kuwa  kwa sasa Hospitali hiyo ya Wilaya inatoa huduma kwa wagonjwa wa nje tuu (OPD) ambapo tangu ianze kutoa huduma mwaka 2020 hadi 2023 imeshahudumia jumla ya wagonjwa 7079 na akaongeza kusema kuwa itakapokamilika kwa asilimia 100 itarahisisha upatikanaji wa huduma za afya kwa wananchi wa maeneo ya Wilaya ya Ilemela na maeneo jirani.




Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.