• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Halmashauri zatakiwa kuvipa vipaumbele vikundi vya kina mama

Posted on: March 8th, 2017

HALMASHAURI ZATAKIWA KUVIPA KIPAUMBELE VIKUNDI VYA KINA MAMA Halmashauri za mkoa wa Mwanza zimetakiwa kuvipa kipaumbele vikundi vyote vya kina mama katika utoaji wa Mikopo na Umiliki wa Ardhi lengo likiwa ni kuhakikisha wanawake wanajikwamua kiuchumi na kuacha utegemezi katika kujiletea maendeleo Hayo yamesemwa leo na Mbunge wa Jimbo la Ilemela na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi alipokuwa akizungumza na Wanawake wa Mkoa wa Mwanza katika kilele cha maadhimisho ya sherehe za siku ya Wanawake Duniani ikiwa na Kauli Mbiu kuwa Tanzania ya Viwanda Wanawake ni Msingi wa Mabadiliko Kiuchumi ambapo kimkoa yamefanyika Viwanja vya Furahisha wilayani Ilemela. Akizungumza katika maadhimisho hayo Mheshimiwa Mabula amewataka Wanawake kuzitumia fursa za umiliki wa Ardhi ili kuongeza uzalishaji wa bidhaa zao sambamba na kuwataka viongozi wanawake wa maeneo hayo kusimamia upatikanaji wa stahiki za wanawake huku akizitaka kushirikiana na asasi zisizo za kiserikali katika kutoa elimu na kuwapata washauri wa msaada wa kisheria … Kama Serikali tunapenda kuwaona watu mnafanya shughuli katika mazingira mazuri ambayo yanatambulika na ni rahisi pia kupata huduma kutoka Serikalini kwa vyovyote vile ukiwa kwenye eneo linalotambulika utahudumiwa na utatambulika lakini ukiwa kwenye eneo ambalo halitambuliki itakuwa kazi pia hata wewe kutambulika …’ Aidha amevitaka vikundi vya walemavu kuacha kujiona wapweke na kuzitumia fursa zilizopo katika kujikwamua Akisoma risala kwa Mgeni rasmi kwa niaba ya wanawake Ndugu Mary Muhoha amelalamikia kuwepo kwa vitendo vya Ukatili, Uonevu na Unyanyasaji na kuitaka Jamii na Serikali kuungana kuondoa changamoto hizo hizo Akihitimisha kwa niaba ya Wanawake wote waliojitokeza viwanjani hapo Mbunge wa Viti maalum Mkoa wa Mwanza Mheshimiwa Kiteto Zawadi Koshuma mbali na kumshukuru Mgeni rasmi kwa kujitoa kwake na kushiriki pamoja katika kuadhimisha sherehe hizo na amemuomba tena kuwa Mgeni rasmi katika sherehe ya ufunguzi wa kiwanda cha kwanza kitachomilikiwa na Wanawake wa Mkoa Mwanza bila kujali tofauti zao kitachojihusisha na Usindikaji wa Viungo na Karanga mapema mwakani.

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.