• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Fedha za EP4R zakamilisha ujenzi wa bweni buswelu sekondari-Ilemela

Posted on: April 21st, 2021

Katika kuhakikisha kuwa mtoto wa kike anasoma vizuri akiwa katika mazingira rafiki, Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela kupitia fedha za EPFR imeweza kukamilisha ujenzi wa bweni la wasichana katika shule ya Sekondari ya Buswelu.


Bweni hili lenye jumla ya vyumba vya kulala 20, vyoo, bafu na sehemu ya kufulia ambalo linatarajiwa kuchukua wanafunzi 80 kwa mara moja limegharimu kiasi cha shilingi za kitanzania milioni 102,962,000 ikiwa milioni themanini ni fedha za EP4R, Shilingi milioni 21,962,000 ni fedha za mapato ya ndani za Halmashauri  na shilingi milioni moja ni fedha za wananchi.


Kutolewa kwa fedha hizo za EPFR kutoka serikali kuu ni kutokana na Halmashauri kufanya vizuri kitaaluma kwa mwaka wa fedha 2020/2021 kwa kiwango cha kukidhi vigezo kupata fedha hizo.


Mwl. Peter Arsen ambae ni Mkuu wa Shule ya Sekondari Buswelu, amezitaja faida za kukamilika kwa bweni hilo kwa mabinti wa kidato cha tano na sita ambao ndio wanufaika wakuu wa mradi huo na kusema kuwa itaongeza idadi ya wanafunzi wa bweni ambao watajiunga na kidato cha tano na sita ambapo itaongeza tahasusi zingine za sayansi, sambamba na kukomesha tatizo la ujauzito mashuleni.


Aliendelea kusema kuwa kwa hivi sasa shule ya sekondari Buswelu imekuwa na mazingira mazuri ya kuvutia katika kujifunzia na kufundishia kama anavyobainisha mwalimu mkuu wake Mwl. Arsen Peter


“Kukamilika kwa bweni hilo ni manufaa makubwa kwa mabinti zetu wa kidato cha tano na sita ambao watakuwa wakipata elimu katika mazingira rafiki na ya uhakika wa kufanya vizuri katika masomo yao” amesema Mwl.Peter


Placidia Mbatina na stela stephano ambao wote ni wanafunzi wa kidato cha sita wa mchepuo wa PCB katika shule ya sekondari Buswelu, wamesema kuwa kujengwa kwa bweni hili kutasaidia kuongeza ufaulu mzuri katika mitihani mbalimbali ya ndani nay a kitaifa huku wakiishukuru serikali na kuahidi kuwa watahakikisha wanafanya vizuri katika masomo yao.


“Tunajivunia kusoma shule yenye mazingira mazuri kama haya,ni faida kwetu kwani kutaongeza ufaulu na kuepusha vishawishi mbalimbali vya mtaani kwa sisi mabinti tulio na malengo ya kufika mbali kielimu”


Shule ya sekondari Buswelu ni miongoni mwa shule 27 za serikali iliyopo ndani ya kata ya Buswelu katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela.



Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • WALENGWA TASAF WAASWA KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA VIKUNDI

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.