• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

ELIMU YA MATUMIZI SAHIHI YA FEDHA YATOLEWA KWA WALENGWA WA TASAF

Posted on: December 2nd, 2022

Walengwa wa mpango wa kunusuru kaya maskini (TASAF) wametakiwa kuimarisha vikundi vyao kwa kubuni shughuli mbalimbali za uzalishaji ambazo zitaweza kuwaletea unafuu wa maisha.


Wito huo umetolewa na Bi Deograsia Lubuga ambae alimuwakilisha mratibu wa TASAF wakati walengwa hao wakipatiwa elimu juu ya matumizi ya fedha zitakazotolewa.

Aidha amewataka wanufaika wa mpango huu kutumia pesa zao kwa utaratibu mzuri wa kuwaletea manufaa na kutahadharisha kuwa lengo la mradi ni kunusuru kaya maskini hivyo jamii bado ina wahitaji wengi, wale waliopata nafasi ya kuwa walengwa wasilemae katika kufanya chochote kitakachowainua kiuchumi.


“Huu ni mradi wa kunusuru kaya maskini ambao huwa tunafanya kwa kipindi cha miaka mitatu mitatu,wahitaji ni wengi mno ndani ya jamii yetu,nyinyi ambao tayari ni walengwa wa mradi mnapaswa kutumia kipindi chenu vizuri kwa kujiwekeza kidogokidogo kwa kadri mnavyopata angalau kuhakikisha una kitu cha kukusogeza kimaisha.” Amesema Bi.Deograsia


Elimu mbalimbali zimetolewa ikiwemo kuhusiana na ajira za muda na uendelezaji wa miundo mbinu imetolewa pia kwani lengo la miradi hii ni kuongeza kipato na ujuzi kwa walengwa wanaojiweza kwa maana ya kuwa na uwezo wa kufanya kazi mbalimbali za kuendeleza miundo mbinu ya jamii kama vile barabara ,madarasa na hifadhi ya mazingira.

Esta Malucha Shigela ni mmoja wa wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya maskini Ilemela katika mtaa wa Bujingwa ndani ya kata ya Buswelu anasema toka aingie kwenye mpango anaona utofauti wa maisha aliyokuwa nayo awali na sasa hivyo ameishukuru serikali kwa kuwawezesha wahitaji.


Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela inaendelea na zoezi la uhawilishaji fedha kwa walengwa wa mpango wa kunusuru kaya maskini (TASAF) kwa kipindi cha Septemba-Octoba 2022 ambapo jumla ya shilingi za kitanzania 302. 89 zinatarajiwa kutolewa kwa kaya 5843 zinazopatikana ndani ya kata 19 za Manispaa ya Ilemela.

Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.