• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • RASILIMALI WATU NA UTAWALA
        • MIPANGO NA UFUATILIAJI
        • ELIMU YA AWALI NA MSINGI
        • ELIMU SEKONDARI
        • KILIMO,MIFUGO NA UVUVI
        • VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
        • MAENDELEO YA JAMII
        • MIUNDOMBINU NA UENDELEZAJI MIJI NA VIJIJI
        • AFYA USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE
      • Vitengo
        • USIMAMIZI TAKA NA USAFI WA MAZINGIRA
        • MALIASILI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
        • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
        • Fedha na Uhasibu
        • SHERIA
        • UKAGUZI WA NDANI
        • MANUNUZI
        • TEHAMA
        • MAWASILIANO SERIKALINI
    • Kata
      • BUGOGWA
      • BUSWELU
        • BUZURUGA
      • BUZURUGA
      • IBUNGILO
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Leseni
    • Usafi wa Mji
  • Baraza La Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • KAMATI YA FEDHA
      • KAMATI YA MIPANGOMIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
      • KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU
      • KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
      • KAMATI YA MAADILI YA MADIWANI
      • BODI YA VILEO
      • MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF)
      • BODI YA AJIRA
      • ALAT
      • LVRLAC
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

DKT.GWAJIMA ARIDHISHWA NA UJENZI HOSPITALI YA WILAYA ILEMELA

Posted on: November 12th, 2019

Katika majengo ya hospitali ya Wilaya niliyopitia na kukagua, ninaipa Alama A hospitali ya wilaya ya Ilemela, Alisema Naibu Katibu Mkuu wa OR-TAMISEMI Dkt.Dorothy Gwajima.


Kauli hiyo aliitoa alipokuwa katika ziara ya kikazi katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela ambayo ilikuwa na lengo la kuangalia shughuli za utekelezaji wa afya katika mikoa na halmashauri, ikiwa ni pamoja na kuangalia miradi ya maendeleo imefikia wapi ambayo ni ujenzi wa vituo vya kutolea huduma za Afya na hospitali za Halmashauri za Wilaya mpya zilizopewa pesa Bilioni 1.5 kutoka serikali kuu.

Pamoja na hayo ziara hii ililenga pia kuangalia ni namna gani wataalam wa afya wamejiandaaje kutoa huduma katika hospitali hii mpya ya wilaya, kuangalia utayari wao wa kutoa huduma bora kwani malalamiko ya wananchi katika kupokea huduma yamekuwa mengi hivyo tunataka watumishi walioandaliwa.

“Tusiishie kuwa na majengo mazuri tu bali tuwe na mifumo laini (watumishi bora) ili wananchi wafurahi huduma”,alisisitiza  Gwajima

Aliongeza kwa kusema kuwa mifumo laini haiwezi kusimama kwa kuwa na watu wanaobebwa, itasimama kwa watu watakaojisimamia wao wenyewe bila mbeleko na kwa takwimu.

Aidha alimshukuru na kumpongeza Mkurugenzi kwa utayari wake wa kutumia fedha za mapato ya ndani kwa ajili ya kuhakikisha kuwa Hospitali inakamilika.

“Hospitali imejengwa vizuri kwa viwango yaani thamani ya pesa imeonekana, na ile pesa iliyopelea ninamshukuru Mkurugenzi wa Manispaa kwa sababu yupo katika kutumia vyanzo za ndani ili kuendelea kuikamilisha”.

Mwisho,  amewataka viongozi ambao wako kwenye mradi huo wa hospitali kuendelea kufanya kazi kwa ushirikiano ili yale yaliyobakia yaweze kukamilika, na kuwaagiza viongozi kuhakikisha kuwa utekelezaji ufanyike kwa yale aliyoyarekebisha kwenye baaadhi ya majengo ya Hospitali hiyo ili ifikapo mwezi wa kwanza 2020 huduma zianze kutolewa .



Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU April 28, 2025
  • TANGAZO MALIPO YA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI April 27, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO WA KUHUDHURIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WASAIDIZI KUELEKEA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI April 27, 2025
  • TANGAZO LA UWEKEZAJI KWA MFUMO WA UBIA (PPP) December 04, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • WANANCHI 780 WAFIKIWA NA KLINIKI YA HUDUMA ZA MAENDELEO YA JAMII

    May 13, 2025
  • RAI YATOLEWA KWA WAZAZI WENYE WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

    May 05, 2025
  • MKURUGENZI UMMY ASISITIZA HUDUMA BORA ZA AFYA

    April 30, 2025
  • WANANCHI ILEMELA WAHIMIZWA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    April 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

MAKALA MAALUM MIAKA 3 YA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILEMELA
More Videos

Quick Links

  • Mfumo wa ofisi mtandao
  • Mfumo wa Kieletronikio wa watumishi
  • Mfumo wa TAUSI
  • Vibali vya kutoka nje ya nchi
  • Salary slip

Related Links

  • Tovuti ya Serikali mtandao
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya utumishi
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya Idara ya Habari maelezo
  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website

Location Map

Contact Us

    Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela

    Postal Address: 735 MWANZA

    Telephone: + 255 736 200910

    Mobile:

    Email: md@ilemelamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Sitemap

Copyright ©2017 Ilemela Municipal Council . All rights reserved.